Nicas saguda
Member
- Jun 8, 2015
- 15
- 16
- Thread starter
- #21
Njia zote nyingine ameshajaribu iliyobakia ni hiyo ya kupandikiza mimba!!alienda pale hospital ya kairuki kujaribu kutaka kujua ki undani!!!ndipo akakutana gharama hizo,kuwa japo kuna vipimo vingi atatakiwa kufanyiwa kwanza lakini navyo ni gharama pia.ila ni kuanzia 14M, na inaweza kuongezeka kutegemea na vipimo atakavyofanyiwa.
Ana umri gani ,