INFARED THERMOMETERS NA SANITIZER.

INFARED THERMOMETERS NA SANITIZER.

Shure thing
Mbona hujaandikwa inazalishwa na nani na anwani yake ni ipi? halafu hiyo lebo imewekwa kisanisanii haina muhuri wa TBS na wala ingredients na asilimia zqake juaonyesha maana kuna watu wanauziwa manukato mijini yenye asilimia 40 ya alcohol wanajiaminisha ni sanitizer sijui zimeandikwa LIFLEA
 
Wabongo wanatamaa sana ..yani kwenye matatizo badala ya kuhurumiana wao wanachukulia kama fursa za kibiashara .yani hizi thermometet sanitizers na facemask(barakoa)wamepqndisha bei sana kuna duka moja nilienda kuulizia mask moja wananiambia buku tano wakati kipindi cha nyuma nilikuwa nanunua moja kwa jero..(ninauwelewa kuhusi quality ni ileile ila tu tamaa zao zimewazidi)

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna Barakoa na Borakoa
 
Mzee baba IR thermometer 300k .

Mkuu, be serious, reconsider your prices.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa
Screenshot_20200425-125701_Facebook.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom