GE2025 INEC yawataka wasimamizi wa Uchaguzi kuzingatia Katiba na Sheria

GE2025 INEC yawataka wasimamizi wa Uchaguzi kuzingatia Katiba na Sheria

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wasimamizi wa uchaguzi walioteuliwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuhakikisha wanazingatia kwa kina Katiba, Sheria na Miongozo ya uchaguzi, sambamba na kuvishirikisha kikamilifu vyama vyote vya siasa vyenye usajili halali katika hatua zote za mchakato huo.

Wito huo umetolewa na Mjumbe wa Tume hiyo, Jaji Asina Omary, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi kutoka mikoa ya Geita na Kagera, yanayofanyika mjini Geita.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake, Hidaya Gwando ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka INEC, ametaja orodha ya watendaji wa uchaguzi walioteuliwa katika ngazi ya Jimbo na Kata, na kusisitiza wajibu wao katika kuhakikisha mchakato unazingatia misingi ya haki na uwazi.

 
Machadema maongo sana, yanadanganya kwamba wakurugenzi ndio wanasimamia uchaguzi kumbe si kweli
 
Nani atangaze Samia na chama chake waneshindwa uchaguzi huu ni mzaha na nonsensical proclamations.
 
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wasimamizi wa uchaguzi walioteuliwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuhakikisha wanazingatia kwa kina Katiba, Sheria na Miongozo ya uchaguzi, sambamba na kuvishirikisha kikamilifu vyama vyote vya siasa vyenye usajili halali katika hatua zote za mchakato huo.

Wito huo umetolewa na Mjumbe wa Tume hiyo, Jaji Asina Omary, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi kutoka mikoa ya Geita na Kagera, yanayofanyika mjini Geita.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Kwa upande wake, Hidaya Gwando ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka INEC, ametaja orodha ya watendaji wa uchaguzi walioteuliwa katika ngazi ya Jimbo na Kata, na kusisitiza wajibu wao katika kuhakikisha mchakato unazingatia misingi ya haki na uwazi.

Huo ni uongo mwingine kwa Mtanganyika kama mwingine uliozoeleka
 
Chadema si haipo,sasa watasimamia kwa uhuru na haki maana vyama vingine ni ccm b
 
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wasimamizi wa uchaguzi walioteuliwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuhakikisha wanazingatia kwa kina Katiba, Sheria na Miongozo ya uchaguzi, sambamba na kuvishirikisha kikamilifu vyama vyote vya siasa vyenye usajili halali katika hatua zote za mchakato huo.


Wito huo umetolewa na Mjumbe wa Tume hiyo, Jaji Asina Omary, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi kutoka mikoa ya Geita na Kagera, yanayofanyika mjini Geita.

Kwa upande wake, Hidaya Gwando ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka INEC, ametaja orodha ya watendaji wa uchaguzi walioteuliwa katika ngazi ya Jimbo na Kata, na kusisitiza wajibu wao katika kuhakikisha mchakato unazingatia misingi ya haki na uwazi.

Nao baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi kutoka majimbo husika wamesema wako tayari kutekeleza majukumu yao kwa weledi na uadilifu ili kuhakikisha uchaguzi wa mwaka huu unakuwa huru na wa haki.
 
Tusubiri kwanza hafrey aongee
downloadfile.jpg
 

Attachments

  • downloadfile.jpg
    downloadfile.jpg
    566.8 KB · Views: 19
Hawa wasimamizi katiba na sheria wanazijulia wapi
 
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka wasimamizi wa uchaguzi walioteuliwa kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa mwaka huu kuhakikisha wanazingatia kwa kina Katiba, Sheria na Miongozo ya uchaguzi, sambamba na kuvishirikisha kikamilifu vyama vyote vya siasa vyenye usajili halali katika hatua zote za mchakato huo.


Wito huo umetolewa na Mjumbe wa Tume hiyo, Jaji Asina Omary, wakati akifungua mafunzo ya siku tatu kwa wasimamizi wa uchaguzi kutoka mikoa ya Geita na Kagera, yanayofanyika mjini Geita.

Kwa upande wake, Hidaya Gwando ambaye ni Kaimu Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka INEC, ametaja orodha ya watendaji wa uchaguzi walioteuliwa katika ngazi ya Jimbo na Kata, na kusisitiza wajibu wao katika kuhakikisha mchakato unazingatia misingi ya haki na uwazi.

Nao baadhi ya wasimamizi wa uchaguzi kutoka majimbo husika wamesema wako tayari kutekeleza majukumu yao kwa weledi na uadilifu ili kuhakikisha uchaguzi wa mwaka huu unakuwa huru na wa haki.
SIJUI NITOE TUSI GANI KWA HAYA MASHETANI...MUNGU WAPE RADI IWAAGAMIZE AU WAINGIE KWENYE NDEGE YA INDIA IKOSE MAFUTA
 
Wanatakiwa kuzingatia miongozo ya CCM na sio katiba, Kwanza katiba gani hiyo uwaambie watu waelewe.
Katiba wanayoweza kuzingatia ni ya jeshi la polisi na chama cha mapinduzi
 
Back
Top Bottom