Sio kwamba wewe umeshindwa kuelewa kinachofanyika ?Nilikuwa nabisha wakenya wakisema watanzania tuna IQ ndogo.
Hili la polepole limefanya niamini kweli watanzania tunashida ya kufkiria.
Mtu kwakuwa aliongea ni mtu anae muamini basi yeye anachukuwa tu km lilivyo nae kuliamini.
Sasa Akili ya kwaida tu ujiulize, access ya NIDA inakusaidia vipi kupata kura kupitia mfumo ?
Chawa wanalinda ugali wao, kizuri mtu aliyekuwa kwenye mfumo ndiye aliyevujisha siri and whatever his motives are we don't give a damn.Kauli ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kwamba mifumo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeunganishwa na ile ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imewaibua wakuu wa taasisi hizo na kukanusha madai hayo.
Wakuu hao wamebainisha kwamba hakuna mfumo wowote kwenye taasisi zao uliounganishwa na ya chama chochote cha siasa na kwamba jambo hilo si siri, na endapo lingekuwa hivyo lingekuwa tayari limejulikana.
Katika mazungumzo yake aliyoyafanya usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2025, Polepole amedai kwamba mifumo ambayo chama hichoimeijenga, inakiwezesha kupata ushindi hata kabla hawajakwenda kwenye uchaguzi.
INEC yakanusha
Akizungumzia tuhuma zilizoibuliwa na Polepole, Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele amesema hakuna mfumo wowote wa taasisi hiyo uliounganishwa na chama chochote cha siasa, hususani CCM.
“Hakuna. Sisi ni Tume huru na vitu kama mifumo kuunganisha si vitu vya siri, ukienda tu kitaalumu utajua, ni mfumo gani tuliounganisha na mtu mwingine,” amesema mwenyekiti huyo.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba hata kama wangekuwa wameunganisha, hiyo inawahakikishiaje ushindi, kwani Tume hiyo inafanya kazi kwa mfumo wa dijitali? amehoji katika majibu yake.
“Kwa maana; je, kura zitapigwa kielekroniki? Kwa hiyo, hakuna kitu kama kuunganisha mifumo ya INEC na chama kingine, lakini nataka nimsikilize anavyozungumza huyo Polepole,” amesema Jaji Mwambegele.
Mwenyekiti huyo amesema mifumo yao haijaunganishwa na chama chochote cha siasa na hata Daftari la Kudumu la Wapigakura wameligawa kwa vyama vyote vya siasa, vinginevyo wangeweza kusema waunganishe katika mifumo yao ili waone.
“Lakini, daftari tumeligawa kwa vyama vyote vya siasa tangu Julai 27, 2025 kwa mfumo kidijitali na mfumo wa hardcopy (nakala ngumu),” amesema.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba msimamo wa INEC, mjadala unaoendelea kuhusu kuunganisha mifumo, si wa kweli na wananchi hawapaswi kuamini hilo.
NIDA nayo yajitenga
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Nida, James Kaji pia amesema hakuna jambo kama hilo la kuunganisha mifumo, huku akisisitiza Polepole aeleze vizuri kama aliwahi kufanya kazi na mamlaka hiyo huko nyuma.
“Hakuna kitu kama hicho. Ni vema akawaelezea vizuri labda yeye anajua na kama ameshafanya kazi Nida,” ameeleza Kaji alipoulizwa na Mwananchi kuhusu tuhuma zilizoibuliwa na Polepole kuhusu kuunganishwa kwa mifumo hiyo.
Chanzo: Mwananchi.
Tulitarajia wakane au kunyamaza kimya na kumpotezea Polepole. Wamechagua kukana na hata wasipopewa maelekezo toka juu ilikuwa ni obvious kuwa wangekana.Kauli ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kwamba mifumo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeunganishwa na ile ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imewaibua wakuu wa taasisi hizo na kukanusha madai hayo.
Wakuu hao wamebainisha kwamba hakuna mfumo wowote kwenye taasisi zao uliounganishwa na ya chama chochote cha siasa na kwamba jambo hilo si siri, na endapo lingekuwa hivyo lingekuwa tayari limejulikana.
Katika mazungumzo yake aliyoyafanya usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2025, Polepole amedai kwamba mifumo ambayo chama hichoimeijenga, inakiwezesha kupata ushindi hata kabla hawajakwenda kwenye uchaguzi.
INEC yakanusha
Akizungumzia tuhuma zilizoibuliwa na Polepole, Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele amesema hakuna mfumo wowote wa taasisi hiyo uliounganishwa na chama chochote cha siasa, hususani CCM.
“Hakuna. Sisi ni Tume huru na vitu kama mifumo kuunganisha si vitu vya siri, ukienda tu kitaalumu utajua, ni mfumo gani tuliounganisha na mtu mwingine,” amesema mwenyekiti huyo.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba hata kama wangekuwa wameunganisha, hiyo inawahakikishiaje ushindi, kwani Tume hiyo inafanya kazi kwa mfumo wa dijitali? amehoji katika majibu yake.
“Kwa maana; je, kura zitapigwa kielekroniki? Kwa hiyo, hakuna kitu kama kuunganisha mifumo ya INEC na chama kingine, lakini nataka nimsikilize anavyozungumza huyo Polepole,” amesema Jaji Mwambegele.
Mwenyekiti huyo amesema mifumo yao haijaunganishwa na chama chochote cha siasa na hata Daftari la Kudumu la Wapigakura wameligawa kwa vyama vyote vya siasa, vinginevyo wangeweza kusema waunganishe katika mifumo yao ili waone.
“Lakini, daftari tumeligawa kwa vyama vyote vya siasa tangu Julai 27, 2025 kwa mfumo kidijitali na mfumo wa hardcopy (nakala ngumu),” amesema.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba msimamo wa INEC, mjadala unaoendelea kuhusu kuunganisha mifumo, si wa kweli na wananchi hawapaswi kuamini hilo.
NIDA nayo yajitenga
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Nida, James Kaji pia amesema hakuna jambo kama hilo la kuunganisha mifumo, huku akisisitiza Polepole aeleze vizuri kama aliwahi kufanya kazi na mamlaka hiyo huko nyuma.
“Hakuna kitu kama hicho. Ni vema akawaelezea vizuri labda yeye anajua na kama ameshafanya kazi Nida,” ameeleza Kaji alipoulizwa na Mwananchi kuhusu tuhuma zilizoibuliwa na Polepole kuhusu kuunganishwa kwa mifumo hiyo.
Chanzo: Mwananchi.
Duh!Vyombo Hatari kwa Demokrasia ya Tanzania
1-Polisiccm
2-Mahakamaccm
3-Hakimuccm wa kisutuccm
4-Wakiliccm
5-Magerezaccm
6-Masajiliccm
7-Tume-ccm
Hivyo vyombo ni matawi ya ccm ni mali binafsi za ccm, havifanyi kazi kwa mujibu wa sheria pindi vikipelekewa jambo la uonevu kwa chadema , hufanya kazi kwa mujibu wa Amri Haramu za kishetani toka kwa ibilisi wa ccm, huwa huru kwa kesi zingine za wananchi, lakini ikija kesi ya chadema huwa chini ya Amri za ccm tu
Kule Dom vijijini kina Agwe wakishapiga ugimbi pori huwa wanachoma nyika ekari kama mia mbili, ardhi inawaka moto panya wote wanaungua huko chini wanatoka mbio kwenye mashimo yao na kukimbilia ndani kwenye nyumba za tembe za wakazi nao wanapata kitoweo bila shida wala kusumbuana just wanakamata panya na kubanika tu, sasa msimu wa mvua ukifika wanatafutana, miti hakuna na mvua hakuna!!Polepole kachoma kichaka wadudu lazima watoke.
Habari za jumamosi tulivu Wana jF,
Baada ya press ya HP juzi usiku juu ya hoja ya kuunganisha mifumo ya iNEC na NIDA , na baadae kukatokea matamko na makanusho kutoka Kwa wakuu wa mamlaka hizo zilizohusishwa kwenye press, sijaona haja ya kukataa kuunganishwa au kuwepo Kwa ukweli huo, kwani jambo ambalo lipo wazi kabisa na pia hakuna ubaya wowote Kwa mifumo hiyo kuunganishwa.
Kwanini nasema imeunganishwa?
Wakati wa zoezi la kuboresha taarifa katika daftari la wapiga kura, kulikuwa na njia Moja wapo ambayo mteja anaweza kuanzisha mchakato wa wkuboresha taarifa zake binafsi kupitia mfumo wa ovrs.inec.go.tz(Kwa Sasa upo offline) ambapo mteja huyu alitakiwa atjaze namba ya NIDA na namba yake ya mpiga kura(kadi ya zamani), baada ya hapo mfumo utavuta taarifa za mteja kutoka NIDA na kuzijaza katika mfumo wa iNEC.
Sambamba kama utoaji wa kadi za wanachama wa CCM unahitaji mwanachama kuwa na naba ya NIDA, Kuna uwezekano mkubwa wa pia mfumo huu kuunganishwa na mfumo wa NIDA Kwa ajili ya verification ya mwanachama.Hope hata vyama vingine wanaweza link na NIDA endapo nao wanatoa kadi wa wanachama wao Kidijitali.
#OKTOBA TUNATIKI
#NRNE
KUra Yako,Haki Yako. Tunza Kadi Yako Ya Kupigia Kura Kwa wivu Wote
Daftari la kudumu la wapiga kura, ni nakala inahifadhi orodha ya watu waliojiandikisha kupiga kura eneo fulani, ikiwa pamoja na baadhi ya taarifa zao muhimu.Sio kwamba wewe umeshindwa kuelewa kinachofanyika ?
Ngoja nikuulize swali... Unajua kitu kinaitwa daftari la wapiga kura ?
Ukinijibu ...nitakupa mwanga...
Aliyetoa tuhuma ndiye mwenye jukumu la kuthibitisha hayo madai.Ukipenda kusikia kile unachopenda kukisikia bila kutumia akili zako kutafakari kuna uwezekano mkubwa ukalishwa na kuamini jambo ambalo pia sio sahihi.Ukiwa na akili timamu huwezi kua binadamu wakuamini maongezi ya mtu bila prove kwavile tu wanasemwa usiowapenda.Polepole atupatie uthibitisho ili tupime uongo wa hao waliokanusha.Yaani ww uilitegemea hawa WAHUNI waseme ni KWEELI???These are just propagandas. Chanzo chenyewe Mwananchi....hizi ni media znatumiwa na SERIKALI YA CCM a.k.a WAHUNI according to Polepole ili kuwaxubaisha Watz. Sisi tunasimama na Polepole. Tulitegema INEC, NIDA na CCM kukanusha taarifa za Polepole ni kawaida ya hawa Wahuni
ati sisi ni TUME HURU? Mpala mtu anakuwa jaji hajui maana ya uhuru?Kauli ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kwamba mifumo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeunganishwa na ile ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imewaibua wakuu wa taasisi hizo na kukanusha madai hayo.
Wakuu hao wamebainisha kwamba hakuna mfumo wowote kwenye taasisi zao uliounganishwa na ya chama chochote cha siasa na kwamba jambo hilo si siri, na endapo lingekuwa hivyo lingekuwa tayari limejulikana.
Katika mazungumzo yake aliyoyafanya usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2025, Polepole amedai kwamba mifumo ambayo chama hichoimeijenga, inakiwezesha kupata ushindi hata kabla hawajakwenda kwenye uchaguzi.
INEC yakanusha
Akizungumzia tuhuma zilizoibuliwa na Polepole, Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele amesema hakuna mfumo wowote wa taasisi hiyo uliounganishwa na chama chochote cha siasa, hususani CCM.
“Hakuna. Sisi ni Tume huru na vitu kama mifumo kuunganisha si vitu vya siri, ukienda tu kitaalumu utajua, ni mfumo gani tuliounganisha na mtu mwingine,” amesema mwenyekiti huyo.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba hata kama wangekuwa wameunganisha, hiyo inawahakikishiaje ushindi, kwani Tume hiyo inafanya kazi kwa mfumo wa dijitali? amehoji katika majibu yake.
“Kwa maana; je, kura zitapigwa kielekroniki? Kwa hiyo, hakuna kitu kama kuunganisha mifumo ya INEC na chama kingine, lakini nataka nimsikilize anavyozungumza huyo Polepole,” amesema Jaji Mwambegele.
Mwenyekiti huyo amesema mifumo yao haijaunganishwa na chama chochote cha siasa na hata Daftari la Kudumu la Wapigakura wameligawa kwa vyama vyote vya siasa, vinginevyo wangeweza kusema waunganishe katika mifumo yao ili waone.
“Lakini, daftari tumeligawa kwa vyama vyote vya siasa tangu Julai 27, 2025 kwa mfumo kidijitali na mfumo wa hardcopy (nakala ngumu),” amesema.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba msimamo wa INEC, mjadala unaoendelea kuhusu kuunganisha mifumo, si wa kweli na wananchi hawapaswi kuamini hilo.
NIDA nayo yajitenga
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Nida, James Kaji pia amesema hakuna jambo kama hilo la kuunganisha mifumo, huku akisisitiza Polepole aeleze vizuri kama aliwahi kufanya kazi na mamlaka hiyo huko nyuma.
“Hakuna kitu kama hicho. Ni vema akawaelezea vizuri labda yeye anajua na kama ameshafanya kazi Nida,” ameeleza Kaji alipoulizwa na Mwananchi kuhusu tuhuma zilizoibuliwa na Polepole kuhusu kuunganishwa kwa mifumo hiyo.
Chanzo: Mwananchi.
Wajinga ni wengi,reasoning yetu ni kidogo sana.Nilikuwa nabisha wakenya wakisema watanzania tuna IQ ndogo.
Hili la polepole limefanya niamini kweli watanzania tunashida ya kufkiria.
Mtu kwakuwa aliongea ni mtu anae muamini basi yeye anachukuwa tu km lilivyo nae kuliamini.
Sasa Akili ya kwaida tu ujiulize, access ya NIDA inakusaidia vipi kupata kura kupitia mfumo ?
wengi wanachangia mada kwa mihemko.Hawana akili yakuwaza kama wewe ndo maana huyo polepole nawenzake wanajua akili zetu ndo maana wanajiongelea tu wakijua kuna ambbao wanaamini maneno matupu.Kwa kawaida mtu anayetuhumiwa kosa fulani amelitenda halafu akakana kuhusika au kufahamu chochote basi aliyetuhumu anawajibika kuleta ushahidi kuthibitisha alichokiongea.
Ushahidi wa kuona, kuhusika katika ujenzi na uunganishaji wake na nyaraka kama ramani ya mfumo ndio utakaohitimisha kesi hii.
The allegations presented are extremely serious, as they negatively affect the institutions and infringe upon citizens' right to vote for their preferred candidate during the general election. Therefore, an independent investigation must be conducted to uncover the truth.
Anzeni na mfumo unaoanzia TTCL kisha mkonga wa taifa mtapata jibu.
Imebidi niangalie ID yako maana nimecheka kama kinoma mkuu.Polepole kapuliza upepo nyeti za kuku zote hadharani.
Wanahangaika kubeba hizi laana zote wakidhani zitasaidia familia zao kuja kuishi maisha ya kifalme baadae na ndo maana wanakubali kuwachambisha watu kwa ndimi zao wenyewe ..hawa ni sawa na ma maamumaHuyo Mwambegele kachaguliwa na nani kukaa hapo? Kifupi hana jipya.
Juzi nilihudhuria mkutano na Tume huru na Waandishi wa Habari aliambiwa ukweli kuwa Tume haikubaliwi na haitakiwi na Wananchi...huyu Jaji aliwaka utadhani mwehu.
Sasa ...nikwamba ...Kuna uhuni unafanyika...Daftari la kudumu la wapiga kura, ni nakala inahifadhi orodha ya watu waliojiandikisha kupiga kura eneo fulani, ikiwa pamoja na baadhi ya taarifa zao muhimu.
Je wanaruhusu wakaguliwe ? Maana pole pole ka advice kama wanabisha wakaguliwe na mkaguzi huruKauli ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kwamba mifumo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeunganishwa na ile ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imewaibua wakuu wa taasisi hizo na kukanusha madai hayo.
Wakuu hao wamebainisha kwamba hakuna mfumo wowote kwenye taasisi zao uliounganishwa na ya chama chochote cha siasa na kwamba jambo hilo si siri, na endapo lingekuwa hivyo lingekuwa tayari limejulikana.
Katika mazungumzo yake aliyoyafanya usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2025, Polepole amedai kwamba mifumo ambayo chama hichoimeijenga, inakiwezesha kupata ushindi hata kabla hawajakwenda kwenye uchaguzi.
INEC yakanusha
Akizungumzia tuhuma zilizoibuliwa na Polepole, Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele amesema hakuna mfumo wowote wa taasisi hiyo uliounganishwa na chama chochote cha siasa, hususani CCM.
“Hakuna. Sisi ni Tume huru na vitu kama mifumo kuunganisha si vitu vya siri, ukienda tu kitaalumu utajua, ni mfumo gani tuliounganisha na mtu mwingine,” amesema mwenyekiti huyo.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba hata kama wangekuwa wameunganisha, hiyo inawahakikishiaje ushindi, kwani Tume hiyo inafanya kazi kwa mfumo wa dijitali? amehoji katika majibu yake.
“Kwa maana; je, kura zitapigwa kielekroniki? Kwa hiyo, hakuna kitu kama kuunganisha mifumo ya INEC na chama kingine, lakini nataka nimsikilize anavyozungumza huyo Polepole,” amesema Jaji Mwambegele.
Mwenyekiti huyo amesema mifumo yao haijaunganishwa na chama chochote cha siasa na hata Daftari la Kudumu la Wapigakura wameligawa kwa vyama vyote vya siasa, vinginevyo wangeweza kusema waunganishe katika mifumo yao ili waone.
“Lakini, daftari tumeligawa kwa vyama vyote vya siasa tangu Julai 27, 2025 kwa mfumo kidijitali na mfumo wa hardcopy (nakala ngumu),” amesema.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba msimamo wa INEC, mjadala unaoendelea kuhusu kuunganisha mifumo, si wa kweli na wananchi hawapaswi kuamini hilo.
NIDA nayo yajitenga
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Nida, James Kaji pia amesema hakuna jambo kama hilo la kuunganisha mifumo, huku akisisitiza Polepole aeleze vizuri kama aliwahi kufanya kazi na mamlaka hiyo huko nyuma.
“Hakuna kitu kama hicho. Ni vema akawaelezea vizuri labda yeye anajua na kama ameshafanya kazi Nida,” ameeleza Kaji alipoulizwa na Mwananchi kuhusu tuhuma zilizoibuliwa na Polepole kuhusu kuunganishwa kwa mifumo hiyo.
Chanzo: Mwananchi.
Hata nyoka na wahuni wamapangoni mbio mikia juu mfano wa ngiri!alaaa?Polepole kachoma kichaka wadudu lazima watoke.
Ulitegemea wakiri huo uhuni? Hawana guts hizo ila Watanzania Wenye akili hatimaye wameelewa kinachoendelea.Kauli ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kwamba mifumo ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imeunganishwa na ile ya Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (Nida), imewaibua wakuu wa taasisi hizo na kukanusha madai hayo.
Wakuu hao wamebainisha kwamba hakuna mfumo wowote kwenye taasisi zao uliounganishwa na ya chama chochote cha siasa na kwamba jambo hilo si siri, na endapo lingekuwa hivyo lingekuwa tayari limejulikana.
Katika mazungumzo yake aliyoyafanya usiku wa kuamkia leo Agosti 22, 2025, Polepole amedai kwamba mifumo ambayo chama hichoimeijenga, inakiwezesha kupata ushindi hata kabla hawajakwenda kwenye uchaguzi.
INEC yakanusha
Akizungumzia tuhuma zilizoibuliwa na Polepole, Mwenyekiti wa INEC, Jaji Jacobs Mwambegele amesema hakuna mfumo wowote wa taasisi hiyo uliounganishwa na chama chochote cha siasa, hususani CCM.
“Hakuna. Sisi ni Tume huru na vitu kama mifumo kuunganisha si vitu vya siri, ukienda tu kitaalumu utajua, ni mfumo gani tuliounganisha na mtu mwingine,” amesema mwenyekiti huyo.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba hata kama wangekuwa wameunganisha, hiyo inawahakikishiaje ushindi, kwani Tume hiyo inafanya kazi kwa mfumo wa dijitali? amehoji katika majibu yake.
“Kwa maana; je, kura zitapigwa kielekroniki? Kwa hiyo, hakuna kitu kama kuunganisha mifumo ya INEC na chama kingine, lakini nataka nimsikilize anavyozungumza huyo Polepole,” amesema Jaji Mwambegele.
Mwenyekiti huyo amesema mifumo yao haijaunganishwa na chama chochote cha siasa na hata Daftari la Kudumu la Wapigakura wameligawa kwa vyama vyote vya siasa, vinginevyo wangeweza kusema waunganishe katika mifumo yao ili waone.
“Lakini, daftari tumeligawa kwa vyama vyote vya siasa tangu Julai 27, 2025 kwa mfumo kidijitali na mfumo wa hardcopy (nakala ngumu),” amesema.
Jaji Mwambegele amesisitiza kwamba msimamo wa INEC, mjadala unaoendelea kuhusu kuunganisha mifumo, si wa kweli na wananchi hawapaswi kuamini hilo.
NIDA nayo yajitenga
Kwa upande wake, Mkurugenzi Mkuu wa Nida, James Kaji pia amesema hakuna jambo kama hilo la kuunganisha mifumo, huku akisisitiza Polepole aeleze vizuri kama aliwahi kufanya kazi na mamlaka hiyo huko nyuma.
“Hakuna kitu kama hicho. Ni vema akawaelezea vizuri labda yeye anajua na kama ameshafanya kazi Nida,” ameeleza Kaji alipoulizwa na Mwananchi kuhusu tuhuma zilizoibuliwa na Polepole kuhusu kuunganishwa kwa mifumo hiyo.
Chanzo: Mwananchi.