Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 844
- 1,608
Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) Ndugu. Kailima Ramadhani akijibu kuhusu hatua watakazochukua katika kulinda usalama katika vituo vya kupiga kura amesema hatua ya kwanza ni kutoa elimu kwa wapiga kura kufuata masharti elekezi, kuwa na polisi wa kusimamia kituo. Pia amesema kuwa mwenendo wa jinsi kampeni zinavoenda ndo vitakavyo tabiri hali ya vituo vya Uchaguzi.