Mukulu wa Bakulu
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 4,050
- 12,966
Nchi ya india iko katika hatua za mwisho za kupitisha sheria itakayopiga marufuku talaka za kiislam.
Bunge la nchi hiyo liko katika hatua za mwisho kupiga marufuku utaratibu wa waislam wa kutoa talaka kienyeji kwa mwanaume kutamka tu mara tatu neno talaka kwa mke wake.
Sheria hiyo itatoa adhabu ya miaka 3 jela kwa atakaekiuka.
Mimi binafsi nawapongeza wahindi, hizi taratibu za ndoa za kidini zimekua zikinyanyasa wanawake na kuwanyima haki zao za msingi.
Kumpa talaka mke/mume ni haki ya huyo anaetaka kifanya hivyo ila utaratibu wa kisheria ufuatwe na huyo alieachwa apate haki zake za msingi.
Triple talaq: India moves to criminalize Muslim instant divorce - CNN
Bunge la nchi hiyo liko katika hatua za mwisho kupiga marufuku utaratibu wa waislam wa kutoa talaka kienyeji kwa mwanaume kutamka tu mara tatu neno talaka kwa mke wake.
Sheria hiyo itatoa adhabu ya miaka 3 jela kwa atakaekiuka.
Mimi binafsi nawapongeza wahindi, hizi taratibu za ndoa za kidini zimekua zikinyanyasa wanawake na kuwanyima haki zao za msingi.
Kumpa talaka mke/mume ni haki ya huyo anaetaka kifanya hivyo ila utaratibu wa kisheria ufuatwe na huyo alieachwa apate haki zake za msingi.
Triple talaq: India moves to criminalize Muslim instant divorce - CNN
