BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,164
Habari zenu,
Hivi mtu anaposema ameolewa lakini hajafunga ndoa ana maana gani?
Hii ni ndoa ya namna gani?
Naomba mnieleweshe maana naona uzee huu unanifanya nisielewe mengi ya mjini, halafu muhusika alivyovurugwa nikimuhoji sana anashusha kichambo na povu tu.
Hivi mtu anaposema ameolewa lakini hajafunga ndoa ana maana gani?
Hii ni ndoa ya namna gani?
Naomba mnieleweshe maana naona uzee huu unanifanya nisielewe mengi ya mjini, halafu muhusika alivyovurugwa nikimuhoji sana anashusha kichambo na povu tu.