Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 64,076
- 114,486
Automatic ndoa BT
Si kweliMwanamke ukiishi na mwanaume miezi sita mnakuwa mke na mme hata kama hamjafunga ndoa ....
Habari zenu,
Hivi mtu anaposema ameolewa lakini hajafunga ndoa ana maana gani?
Hii ni ndoa ya namna gani?
Naomba mnieleweshe maana naona uzee huu unanifanya nisielewe mengi ya mjini, halafu muhusika alivyovurugwa nikimuhoji sana anashusha kichambo na povu tu.
Hii tabia yakiswahili sana miezi sita nalipia chumba ili nisiwe nakupeleka hoteli i dont mean nataka mke njoo tu hamia si utapika na k utanipa nnavotaka let me take advantage skuowi hata malaika washuke ....tena kwenu wanaridhia kabisa wanajua uko kwa bwanako this bulshit inawashushia tu hadhi .........Mwanamke ukiishi na mwanaume miezi sita mnakuwa mke na mme hata kama hamjafunga ndoa ....
Hakuna ndoa hapo BT, bali mrembo anaogopa upweke
na anafurahia gegedo hivyo ni lazima ajisemeshe yumo ndani ya ndoa kumbe ni kimada tu!
we mshauri tu hivyo hivyoHahahahah
Bomaniiiii... (the boss atadhibitisha)
Usiniambie ndio maana ya "kuolewa lakini hatujafunga ndoa?" Yaani kuna mtu nimeshindwa kumshauri lolote halafu mwenyewe kapanic kimtindo
tatizo wabongo mmekalilishwa vyeti kwa kila kitu, kwani mababu zako waliishije, afu enzi hizi hakuna upendo mtu anafunga ndoa akili yote kwenye miradhiHabari zenu,
Hivi mtu anaposema ameolewa lakini hajafunga ndoa ana maana gani?
Hii ni ndoa ya namna gani?
Naomba mnieleweshe maana naona uzee huu unanifanya nisielewe mengi ya mjini, halafu muhusika alivyovurugwa nikimuhoji sana anashusha kichambo na povu tu.
Kwa hiyo ina maana "sogea tuishi" ndio kuolewa bila kufunga ndoa?
Na wengi wamezaliwa kwenye ndoa hizo.wazazi waliona kwa ndoa za kimila.Kuna ndoa za aina tatu ninazozijua
1. ya kimila. Hii ni makubaliano yako na mwanaume yenye Baraka za wazazi na jamii nyingine inayokuzunguka.
Mume akishamaliza kutoa mahari anakabidhiwa mke.
Hizi ndio nyingi zaidi kwa Maisha tuliyonayo
2. Ya kiserikali.
Mnaenda bomani mnaunganishwa kwa viapo vyenu.
3. Ya kidini.
Muunganiko unaanzia nyumbani mpaka kanisani au msikitini.
Huwa inahyshisha pia Vyeti Vya kiserikali.
Ninachoshangaa ni watu kujifanya hawajui ndoa za kimila wakati Ndio watu wengi kwenye jamii zetu wanaziishi na kudumu.
Hizi zingine watu huwa wanafuata Vyeti tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umeamua kutupia cha kwetu