Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
- Thread starter
- #41
Unatia kinyaa.Hata hujui unaongea nini tena hapa. Hata magazeti hii serikali haiwezi ndio maana inatuma boya km wewe ndio uitete.NDio mkienda nje mnambuka km wehu na mnaaza dai mmebagulia,mmehujumiwa etc.Tatizo lako unaamini wewe unajua kila kitu na wengine hawajui au hawapaswi kujua tofauti na unavyojua.
Mbona viongozi wako wa UKUTA WA BISKUTI na FUNUA ILI UPATWE wanatumia Media hizi hizi kuhalalisha machafu yao. MKUU ACHA MAHABA NIUE UNACHEKESHA.