STREET SMART
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 807
- 622
Nimeshatoka kuvote for slaa,ktk kata ya sinza: Nimestaajabu kuona mawakala hawausishwi kukagua kadi ya mpiga kura na daftari la wapiga kura,kiana wametengwa. Ni rahisi kwa mtu ambae hayupo ktk daftari na mwenye kadi feki ya kura kupiga as long as wakaguz wote ni ccm. Hii imeniskitisha sana. Do something mnyika, tutaumia leo.