Inawezekana Hatumuelewi Rais Dkt. Magufuli

mkuu kama hujaona alilofanya mpaka sasa bac tatzo lako kwene ubongo ni kubwa unahtaj kupelekwa india haraka sana.

Kuna wengine welfare yao inapoguswa ndiyo unaitwa uchumi...the term doesnt mean the same to everybody...kwa yule ambaye anapata huduma kwa haraka na kwa urahisi hiyo imepunguza uncertainty na transaction cost kwenye maisha yake na anatumia muda wake kufanya kazi zenye tija, atakwambia uchumi umeimarika. Kwa yule ambaye anapokea mshahara pasipo kujali out put yake kwa umma hata kama ni in private bussiness na hawezi tena kukwepa kodi wala kufanya deals na wale wenye dhamana katika umma, huyo uchumi wake upo kwenye hali tete...so be careful we all are not the same...the variation is so big...
 
Wengi wamekuzodoa! Labda wa Lumumba, all sensible men have denounced you!
Kwa akili yako na uelewa wako nadhani bado unaamini mpinzani pekee ndiye mwenye akili kwenye hii nchi..Inaonyesha ni kwa jinsi gani ulivyo na ufinyu wa fikra!
 
Issue sio kila kinachoandikwa kukubalika na mtu..Ukweli unaweza ukaongewa na bado ukakataliwa,sio kosa!

Njia iendayo kuzimu ni pana na huonekana wazi lakini ile ya uzimani zaidi ya kuwa ni nyembamba pia huwa wengi hawaioni...heri mtu yule ambaye macho yake yanaweza kuiona kwa maana itamfaidia nini mwanadamu akipewa dunia na utajiri wote huku akiwa kapoteza ufahamu wake? Hakuna kitu cha thamani kama kupewa akili yenye hekima!
 
Binafsi sawa na watz walio wengi ni mwathirika kwa njia moja au nyingine wa kinachoendelea sasa.
Lakini nilikuwa nawaza nilivyoona huu uzi ile terminology ya wanasheria kwenye contract kuwa ni "intention to create legal relationship". Sasa nikawaza huyu JPM na 'vurugu' zake zote hakuna ushahidi wa wazi kuwa anafanya haya yote kwa ajili ya faida binafsi za familia yake au kundi fulani bali anaamini anafanya haya kuiweka nchi na wananchi wake katika neema.
Sasa nikawaza upande wa pili, hivi inakuwaje kwa kiongozi ambaye anaongea vizuri kwa nje lakini kumbe kwa makusudi ana mipango ovu na nchi aliyoapa kuitumikia. Mfano mtu anasema ukiwakamata mafisadi nchi italipuka na baadae kidogo unagundua huyo huyo alikuwa sehemu ufisadi huo kwa mfano!
Tujaribu kutuliza akili kidogo na kuangalia kinachotokea na economic recession Nigeria, Venezuela, Zimbabwe, Germany ndio tujue ni nani wa kulaumiwa na kwa kosa gani maana generalization inaweza kuleta tatizo lingine.
 
Ukimwuliza mtanzania yeyote, hata msomi, maana ya neno siasa na mwanasiasa, utapata jibu rahisi sana,kwamba sisa ni uongo uliokithili.ndiyo mazoea tuliyoyaishi kwa muda murefu.hivyo akija mtu akasema kile anachokiamini,na kukitenda, na kukiishi. wengi watabaki hawaamini kwa kuwa hatujazoea kuambiwa ukweli, na kutendewa kwa ukweli mtupu bila chenga. mazoea ni kama sheria hata kama ni hovyo. tujitafakari, turudi njia kuu, ya UKWELI MTUPU.
 
Amani iwe kwenu!

Nimejaribu kutafakari kidogo juu ya kauli kadhaa za rais wetu akiwa katika baadhi ya ziara na kubaini kitu..
1. Inawezekana kauli tata za mh. ni za makusudi na zinalengo la kubadili sura nzima ya siasa tulizozoea..Hii nikiwa na maana kwamba wakati tukiwa bize kujadili kauli tata hizo teyari yeye anapata mwanya wa kufanya mambo ya msingi ambayo anatarajia kuyafanya!Ni kama unaweka nyama na wakati huo huo unampigia mluzi mbwa..lazima aweweseke!

2.Kauli zake nyingi pia zina vichekesho na mikwara mingi..Hii mikwara inaweza kuwa na lengo la kuwaweka sawa watendaji au watu waovu!Kwa jinsi navyoona haya yote anayafanya makusudi kwa kuamini kwamba meseji zinafika na watu wanamsikiliza neno kwa neno!

3.Kwa kuzingatia kuwa watanzania na wanasiasa ni watu wa porojo na propaganda basi naona anacheza kama pele kwenye hili na wanasiasa wengi hawajamstukia!Vyama vya upinzania visipokuwa makini vitabaki kujadili hotuba zake badala ya kujikita kwenye main agenda za vyama vyao..

4.Pia muheshimiwa kuna wakati kwenye hotuba mambo ya sirini huyaweka wazi wazi..Nahisi anafanya makusudi kuwa hata wale wanaofanya maovu na kusitiriwa kisiasa basi kuna siku watawekwa hadharani..amefanya watu wa deal na wala rushwa kubwa kuwa waangalifu maana kuna siku wanaweza kusemwa hadharani..Miaka ya nyuma hatukuzoea hii na tunaona kama wanadhalilishwa..

5.Tukumbuke rais wetu ni msomi wa Phd na si bure lazima huwa anajitafakari baada ya hotuba zake lakini pamoja na hilo bado wimbi la kauli tata linaendelea na bila shaka ni makusudi kwa lengo maalum kwa kuzingatia aina za siasa tulizozoea..Yaani huwa anapiga pale pale tunapoona amekosea au atakosea na mbaya zaidi huwa haachi kurudia pale anapoona watu wamekwazika!

Kitu ninachokiona ni kuwa rais anataka kututoa kwenye aina za siasa tulizozoea,yaani analeta a new era of politics!Wito wangu kwa viongozi wa upinzani na wanaharakati kama kweli mnataka kuisaidia hii nchi mjikite kwenye ajenda zenu na si hotuba zake kwa vipande hasa vyenye utata!Atawapoteza na wakati huo huo yeye anaendelea kuchanja mbuga kisiasa na kwenye ajenda zake..In short I can call him as a game changer and a smart president..
Majority ya watz wanafikiri na akili km zako, binafsi sishangai maana mko wengi sana na ccm yenu
 
Yeye afuate katiba tu! Porojo nyingi za nini?

Sisi tunaielewa katiba ya Tanzania(Pamoja na ubovu wake), hatuhitaji kumuelewa yeye.
Haya kama umeshindwa kumwelewa leta fyokofyoko uzamishwe kwenye maji uyanywe uvimbiwe
 
Ukishobokaaa na elimu mie nitakuona una upeo mdogo sanaa kwanii nadhanii unafahamu kuwa ameshakurupuka katika mambo mengi na kuna wasomi wengi ndio waneliharibuuuu taifaa hiliiii la tz hivyooo usitufanye sie ndondocha au midoli etiii phd
 
"A game changer and a smart president"! An hypothesis worth testing not mere discussion. My observation
 
Chadema wajifunze kitu..baada ya miaka mi5 wataulizwa wamefanya nini majimboni na ndio maana Zitto leo yuko bize na madiwani wake Kigoma na hana muda wa kudeal na hotuba za rais maana kashtuka.
Mkuu richmond inalipwa au hailipwi?

wafanyakazi hewa mpaka leo mwaka unaenda kwisha hajamaliza vp atamaliza mwaka gani

UKAWA ndio wamemshika mapembe rais ,serikali na jeshi la police wanaacha kufanya Mambo ya msingi na Yenye tija kwa Taifa matokeo yake usalama umedorora mpaka basi

atamaliza miaka 5 atabaki na ajenda moja tu ya wafanyakazi hewa isiyoisha
 
Back
Top Bottom