wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,575
Na CDF Mabeyo kumpigia saluti Jokate unasemaje hapo?
You're right!Hakuna alichokosea hapo IGP ndivyo inavyotakiwa.
Jokate ni Mkuu wa Wilaya hivyo basi ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya husika na IGP yupo ndani ya kamati ya Usalama kwa hiyo kiprotokali IGP anatakiwa ampigie salute Mkuu wake
Labda mama wa kwako, usitutukanishe kama taifa bwn!!Huyo sio dc tu,ni mama wa taifa pia
Sema mjane wa Taifa mkuu, kwani the owner stil exists, si tuna mwaka sasa na kumbukumbu tumefanya ile 17th March 2022...?Huyo sio dc tu,ni mama wa taifa pia
Funguka Sasa ww unayejua kilichotokea ni nnmtoa mada mimi nafikiri kitu kama hukijui ni heri ukae kimya kuliko kujionesha hadharani jinsi ulivyo na akili fupi
Blah blah blah blah, kweli kuna mtu alitugeuza watanzania wengi kuwa mazuzu, binafsi sio zuzu kabisa, ndio tatizo la kuvifanya vyombo hivi vya ulinzi na usalama ambavyo vilitakiwa kuwa neutral vimemezwa na politicians!Hakuna alichokosea hapo IGP ndivyo inavyotakiwa.
Jokate ni Mkuu wa Wilaya hivyo basi ni Mwenyekiti wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya husika na IGP yupo ndani ya kamati ya Usalama kwa hiyo kiprotokali IGP anatakiwa ampigie salute Mkuu wake
Pata picha mkuu wa wilaya ana cheo cha kapteni au meja wa jeshi hiloDC anateuliwa na Rais aongoze wilaya.. CDF anateuliwa na Rais anaongoza majeshi yote ya Tanzania lakini mtu bado anakwambia sababu DC kateuliwa na rais haiingi akilini kiprotocol labda kama msmee Mabeyo hana namna nyingine ya kutoa salamu zaidi ya SALUTE ukizingatia kavaa full combat.
Wananzengo wanadai 'PGO' haimruhusu IGP kumpigia saluti DC. Askari anayetakiwa kumpigia saluti DC ni yule mwenye cheo cha Mkaguzi (Inspector) – mwenye nyota mbili, na askari wote wa vyeo vya chini yake.
Kwa lugha rahisi hapa ni sawa na mtoto kusalimiwa na Baba yakeView attachment 2254370
Ni salamu kwa watu walioenda jando.Saluti ni salamu kama zingine.
mke wa marihemuuHuyo sio dc tu,ni mama wa taifa pia