Inaumiza lakini ni tamu!

Inaumiza lakini ni tamu!

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,877
Yawezekana bado uko kwenye kutafuta mume/mke w a kuishi nae
yawezekana unasubiri mume ama mke kutoka kwa bwana
yawezekana umri wako umekwenda lakini bbado ujaona anaekufaa
yawezekana umekataa tamaa na ndoa baada ya kuona ndoa za sikuhizi na vituko vyake

kwa kifupi mchana huu napenda kukujjulisha ujachelewa kabisa..ni ngumu na inaumiza kusubiri mtu usiemjua lakini utakapompata machozi yote yatageuka furahaa
ndugu yangu usiwe na haraka ni kweli labda familia inakulazimisha kufunga ndoa
umri umekwenda wadogo zako wanazaidi kuoa ama kuolewa leo hii nakujulisha usiwe na haraka elekeza sala zako kwa mungu .mungu huwa ashindwi na lolote ni kweli kibinadamu utaumia lakini ipo siku utapata mwanandoa sahihi na kusema yesu ni bwana

naamaanisha wapo waliokimbilia ndoa kwa sababu mbali mbali na kuishia kuwa na sherehe kubwa tu na watu kuweka historia ya kunywa na kwenda msalani mara kwa mara bila kipimo...wapo waliochoka na ndoa wakaamua kuhama na nchi yetu hii hii tanzania wakijua susuluhisho liko nje ya nchi la hasha...mungu anatupenda...niwape mfano mmoja

wakati nikiwa namwomba mungu anipe mke sahihi mama yangu mzazi alinihimiza sana kuoa mwaka unapita bila ndoa unakuja mwingine akasema unajua wanaume mnazeeka araka nkamwambia shaka akuna ;;kwa unaejua unahsi anataka mjukuu lakini aangalii matatizo ntakayopata nikiwa na mjukuu wake kama ntakimbilia mwiba nisiojua umetokea wapi

nakumbuka sikumoja tumetoka chachi akanitengenezea mlo mzuri sana nikasikia msichana anaingia ndani anakuja kunsalimu nikamsalimia..yule dada mungu amsaidie aliishia kusikia hivi baibo ina vitabu vingapi ...hivi ibrahim alikuwa mtu wana mna ganina mengineyo kabla ya kusema anaenda msalan na kuunga nje;;nikamwambia mama siangalii msharika nataka mke sahihi leo hii niko na kabinti kazuri kutoka kwa bwana tumefunga ndoa nzuri mungu ametujalia mtoto ukimwona utasema bikira.....lakini yote ni upendo wa kweli ..wapo wanaume baada ya wake zao kuzaa wanadai mi nataka umbo la nane siwezi 16* 16 hivi ujui mwanao ndio alikaa kwenye 16 * 16 kabla ya kuzaa alikuwa nane..leo hii naipenda 24 * 24 yangu mpaka basi

usiwe na haraka kuwa mvumilivu.......mume wako mke wako yupo ni wewe kupiga goti mke sahihi haji hivi hivi ama kwa kwenda kuokota bar no unaitaji nguvu ya mungu kupata mtu sahihi.....

Mungu awabariki
 
mume wako mke wako yupo ni wewe kupiga goti mke sahihi haji hivi hivi ama kwa kwenda kuokota bar no unaitaji nguvu ya mungu kupata mtu sahihi.....
 
Yawezekana bado uko kwenye kutafuta mume/mke w a kuishi nae
yawezekana unasubiri mume ama mke kutoka kwa bwana
yawezekana umri wako umekwenda lakini bbado ujaona anaekufaa
yawezekana umekataa tamaa na ndoa baada ya kuona ndoa za sikuhizi na vituko vyake

kwa kifupi mchana huu napenda kukujjulisha ujachelewa kabisa..ni ngumu na inaumiza kusubiri mtu usiemjua lakini utakapompata machozi yote yatageuka furahaa
ndugu yangu usiwe na haraka ni kweli labda familia inakulazimisha kufunga ndoa
umri umekwenda wadogo zako wanazaidi kuoa ama kuolewa leo hii nakujulisha usiwe na haraka elekeza sala zako kwa mungu .mungu huwa ashindwi na lolote ni kweli kibinadamu utaumia lakini ipo siku utapata mwanandoa sahihi na kusema yesu ni bwana

naamaanisha wapo waliokimbilia ndoa kwa sababu mbali mbali na kuishia kuwa na sherehe kubwa tu na watu kuweka historia ya kunywa na kwenda msalani mara kwa mara bila kipimo...wapo waliochoka na ndoa wakaamua kuhama na nchi yetu hii hii tanzania wakijua susuluhisho liko nje ya nchi la hasha...mungu anatupenda...niwape mfano mmoja

wakati nikiwa namwomba mungu anipe mke sahihi mama yangu mzazi alinihimiza sana kuoa mwaka unapita bila ndoa unakuja mwingine akasema unajua wanaume mnazeeka araka nkamwambia shaka akuna ;;kwa unaejua unahsi anataka mjukuu lakini aangalii matatizo ntakayopata nikiwa na mjukuu wake kama ntakimbilia mwiba nisiojua umetokea wapi

nakumbuka sikumoja tumetoka chachi akanitengenezea mlo mzuri sana nikasikia msichana anaingia ndani anakuja kunsalimu nikamsalimia..yule dada mungu amsaidie aliishia kusikia hivi baibo ina vitabu vingapi ...hivi ibrahim alikuwa mtu wana mna ganina mengineyo kabla ya kusema anaenda msalan na kuunga nje;;nikamwambia mama siangalii msharika nataka mke sahihi leo hii niko na kabinti kazuri kutoka kwa bwana tumefunga ndoa nzuri mungu ametujalia mtoto ukimwona utasema bikira.....lakini yote ni upendo wa kweli ..wapo wanaume baada ya wake zao kuzaa wanadai mi nataka umbo la nane siwezi 16* 16 hivi ujui mwanao ndio alikaa kwenye 16 * 16 kabla ya kuzaa alikuwa nane..leo hii naipenda 24 * 24 yangu mpaka basi

usiwe na haraka kuwa mvumilivu.......mume wako mke wako yupo ni wewe kupiga goti mke sahihi haji hivi hivi ama kwa kwenda kuokota bar no unaitaji nguvu ya mungu kupata mtu sahihi.....

Mungu awabariki

Pdidy mpaka umempata huyo mke sahihi kutoka kwa mwenyezi mungu ulikuwa tayari una umri gani?
 
Tatizo watu wanaangalia uzuri wa sauti na si mapenzi, wengine wanaanzia kwenye kupenda kuanzia mvuto wa kikuku mguuni yaani balaa yaani dah ngoja niishie tu hapa,duniani hapakosi vituko! Hehehe!
 
P.DIDY Ulichokisema ni cha kweli kabisa m2 mzima but now a days swala zima la kipigagot kwa Sir GOD limekuwa gumu sana that is why ndoa hazidumu on reality vijana wanaangalia vivutio vya anasa katika mapenzi mpaka kutafuta mke/mume i.e Vi-chicken,bro.mens which is wrong direction.Thanks kwa kutukumbusha
 
Umenena hili ni tatizo kwa vijana wengi wanaoa na kuolewa kwa mkumbo na hii inawafanya waoe na kuolewa na mtu yeyote atakae jitokeza the ndoa zinalaast for ayear tu
Yawezekana bado uko kwenye kutafuta mume/mke w a kuishi nae
yawezekana unasubiri mume ama mke kutoka kwa bwana
yawezekana umri wako umekwenda lakini bbado ujaona anaekufaa
yawezekana umekataa tamaa na ndoa baada ya kuona ndoa za sikuhizi na vituko vyake

kwa kifupi mchana huu napenda kukujjulisha ujachelewa kabisa..ni ngumu na inaumiza kusubiri mtu usiemjua lakini utakapompata machozi yote yatageuka furahaa
ndugu yangu usiwe na haraka ni kweli labda familia inakulazimisha kufunga ndoa
umri umekwenda wadogo zako wanazaidi kuoa ama kuolewa leo hii nakujulisha usiwe na haraka elekeza sala zako kwa mungu .mungu huwa ashindwi na lolote ni kweli kibinadamu utaumia lakini ipo siku utapata mwanandoa sahihi na kusema yesu ni bwana

naamaanisha wapo waliokimbilia ndoa kwa sababu mbali mbali na kuishia kuwa na sherehe kubwa tu na watu kuweka historia ya kunywa na kwenda msalani mara kwa mara bila kipimo...wapo waliochoka na ndoa wakaamua kuhama na nchi yetu hii hii tanzania wakijua susuluhisho liko nje ya nchi la hasha...mungu anatupenda...niwape mfano mmoja

wakati nikiwa namwomba mungu anipe mke sahihi mama yangu mzazi alinihimiza sana kuoa mwaka unapita bila ndoa unakuja mwingine akasema unajua wanaume mnazeeka araka nkamwambia shaka akuna ;;kwa unaejua unahsi anataka mjukuu lakini aangalii matatizo ntakayopata nikiwa na mjukuu wake kama ntakimbilia mwiba nisiojua umetokea wapi

nakumbuka sikumoja tumetoka chachi akanitengenezea mlo mzuri sana nikasikia msichana anaingia ndani anakuja kunsalimu nikamsalimia..yule dada mungu amsaidie aliishia kusikia hivi baibo ina vitabu vingapi ...hivi ibrahim alikuwa mtu wana mna ganina mengineyo kabla ya kusema anaenda msalan na kuunga nje;;nikamwambia mama siangalii msharika nataka mke sahihi leo hii niko na kabinti kazuri kutoka kwa bwana tumefunga ndoa nzuri mungu ametujalia mtoto ukimwona utasema bikira.....lakini yote ni upendo wa kweli ..wapo wanaume baada ya wake zao kuzaa wanadai mi nataka umbo la nane siwezi 16* 16 hivi ujui mwanao ndio alikaa kwenye 16 * 16 kabla ya kuzaa alikuwa nane..leo hii naipenda 24 * 24 yangu mpaka basi

usiwe na haraka kuwa mvumilivu.......mume wako mke wako yupo ni wewe kupiga goti mke sahihi haji hivi hivi ama kwa kwenda kuokota bar no unaitaji nguvu ya mungu kupata mtu sahihi.....

Mungu awabariki
 
Back
Top Bottom