Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,877
Yawezekana bado uko kwenye kutafuta mume/mke w a kuishi nae
yawezekana unasubiri mume ama mke kutoka kwa bwana
yawezekana umri wako umekwenda lakini bbado ujaona anaekufaa
yawezekana umekataa tamaa na ndoa baada ya kuona ndoa za sikuhizi na vituko vyake
kwa kifupi mchana huu napenda kukujjulisha ujachelewa kabisa..ni ngumu na inaumiza kusubiri mtu usiemjua lakini utakapompata machozi yote yatageuka furahaa
ndugu yangu usiwe na haraka ni kweli labda familia inakulazimisha kufunga ndoa
umri umekwenda wadogo zako wanazaidi kuoa ama kuolewa leo hii nakujulisha usiwe na haraka elekeza sala zako kwa mungu .mungu huwa ashindwi na lolote ni kweli kibinadamu utaumia lakini ipo siku utapata mwanandoa sahihi na kusema yesu ni bwana
naamaanisha wapo waliokimbilia ndoa kwa sababu mbali mbali na kuishia kuwa na sherehe kubwa tu na watu kuweka historia ya kunywa na kwenda msalani mara kwa mara bila kipimo...wapo waliochoka na ndoa wakaamua kuhama na nchi yetu hii hii tanzania wakijua susuluhisho liko nje ya nchi la hasha...mungu anatupenda...niwape mfano mmoja
wakati nikiwa namwomba mungu anipe mke sahihi mama yangu mzazi alinihimiza sana kuoa mwaka unapita bila ndoa unakuja mwingine akasema unajua wanaume mnazeeka araka nkamwambia shaka akuna ;;kwa unaejua unahsi anataka mjukuu lakini aangalii matatizo ntakayopata nikiwa na mjukuu wake kama ntakimbilia mwiba nisiojua umetokea wapi
nakumbuka sikumoja tumetoka chachi akanitengenezea mlo mzuri sana nikasikia msichana anaingia ndani anakuja kunsalimu nikamsalimia..yule dada mungu amsaidie aliishia kusikia hivi baibo ina vitabu vingapi ...hivi ibrahim alikuwa mtu wana mna ganina mengineyo kabla ya kusema anaenda msalan na kuunga nje;;nikamwambia mama siangalii msharika nataka mke sahihi leo hii niko na kabinti kazuri kutoka kwa bwana tumefunga ndoa nzuri mungu ametujalia mtoto ukimwona utasema bikira.....lakini yote ni upendo wa kweli ..wapo wanaume baada ya wake zao kuzaa wanadai mi nataka umbo la nane siwezi 16* 16 hivi ujui mwanao ndio alikaa kwenye 16 * 16 kabla ya kuzaa alikuwa nane..leo hii naipenda 24 * 24 yangu mpaka basi
usiwe na haraka kuwa mvumilivu.......mume wako mke wako yupo ni wewe kupiga goti mke sahihi haji hivi hivi ama kwa kwenda kuokota bar no unaitaji nguvu ya mungu kupata mtu sahihi.....
Mungu awabariki
yawezekana unasubiri mume ama mke kutoka kwa bwana
yawezekana umri wako umekwenda lakini bbado ujaona anaekufaa
yawezekana umekataa tamaa na ndoa baada ya kuona ndoa za sikuhizi na vituko vyake
kwa kifupi mchana huu napenda kukujjulisha ujachelewa kabisa..ni ngumu na inaumiza kusubiri mtu usiemjua lakini utakapompata machozi yote yatageuka furahaa
ndugu yangu usiwe na haraka ni kweli labda familia inakulazimisha kufunga ndoa
umri umekwenda wadogo zako wanazaidi kuoa ama kuolewa leo hii nakujulisha usiwe na haraka elekeza sala zako kwa mungu .mungu huwa ashindwi na lolote ni kweli kibinadamu utaumia lakini ipo siku utapata mwanandoa sahihi na kusema yesu ni bwana
naamaanisha wapo waliokimbilia ndoa kwa sababu mbali mbali na kuishia kuwa na sherehe kubwa tu na watu kuweka historia ya kunywa na kwenda msalani mara kwa mara bila kipimo...wapo waliochoka na ndoa wakaamua kuhama na nchi yetu hii hii tanzania wakijua susuluhisho liko nje ya nchi la hasha...mungu anatupenda...niwape mfano mmoja
wakati nikiwa namwomba mungu anipe mke sahihi mama yangu mzazi alinihimiza sana kuoa mwaka unapita bila ndoa unakuja mwingine akasema unajua wanaume mnazeeka araka nkamwambia shaka akuna ;;kwa unaejua unahsi anataka mjukuu lakini aangalii matatizo ntakayopata nikiwa na mjukuu wake kama ntakimbilia mwiba nisiojua umetokea wapi
nakumbuka sikumoja tumetoka chachi akanitengenezea mlo mzuri sana nikasikia msichana anaingia ndani anakuja kunsalimu nikamsalimia..yule dada mungu amsaidie aliishia kusikia hivi baibo ina vitabu vingapi ...hivi ibrahim alikuwa mtu wana mna ganina mengineyo kabla ya kusema anaenda msalan na kuunga nje;;nikamwambia mama siangalii msharika nataka mke sahihi leo hii niko na kabinti kazuri kutoka kwa bwana tumefunga ndoa nzuri mungu ametujalia mtoto ukimwona utasema bikira.....lakini yote ni upendo wa kweli ..wapo wanaume baada ya wake zao kuzaa wanadai mi nataka umbo la nane siwezi 16* 16 hivi ujui mwanao ndio alikaa kwenye 16 * 16 kabla ya kuzaa alikuwa nane..leo hii naipenda 24 * 24 yangu mpaka basi
usiwe na haraka kuwa mvumilivu.......mume wako mke wako yupo ni wewe kupiga goti mke sahihi haji hivi hivi ama kwa kwenda kuokota bar no unaitaji nguvu ya mungu kupata mtu sahihi.....
Mungu awabariki