"Nimekuchoka,sikutaki,sikupendi na ninakuchukia na tuachane ila niambie na wewe kama nilivokuambia mimi kila mmoja achukue zake" huo ni mwisho wa kunukuu.
Hayo ndo maneno nimeambiwa hata nimeshindwa nini nimjibu mpaka sasa!
Inauma jaman!
Mjibu mbona umechelewa ni nilikuchoka kabla yako nikawa nakuonea huruma kukwambia bt kama na wewe umeshafikia hapo we jiendee tu room iwe empty kwa wengine kuja