ulizaliwa nae tumbo moja?
Haiwezekani mtu mzima na mmwenye akili timam atamke maneno mazito kama hayo pasipo sababu lazima utakua umemkwaza kwa jambo ambalo tayari limekua sugu na kwa muda mrefu, hivyo unapaswa ujichunguze hadi ujue wapi umemkosea mpendwa wako.
"nimekuchoka,sikutaki,sikupendi na ninakuchukia na tuachane ila niambie na wewe kama nilivokuambia mimi kila mmoja achukue zake" huo ni mwisho wa kunukuu.hayo ndo maneno nimeambiwa hata nimeshindwa nini nimjibu mpaka sasa!!!! inauma jaman!!!!
Muulize nauli ya kwenda kwao shilingi ngapi? Mpatie' mwambie akusanye kila anachokihitaji' na mwisho akwambie nini kingine anataka toka kwako!! Baada ya kumkamilishia mtakie safari njema...!
then utaona reaction yake' usisahau kutupa mrejesho.
"nimekuchoka,sikutaki,sikupendi na ninakuchukia na tuachane ila niambie na wewe kama nilivokuambia mimi kila mmoja achukue zake" huo ni mwisho wa kunukuu.hayo ndo maneno nimeambiwa hata nimeshindwa nini nimjibu mpaka sasa!!!! inauma jaman!!!!
ngumu kumesa!!! yaani mpaka nimeshindwa chakumwambia maana moyo umepondeka sikawaida!!!!
fujo zilikuwa nyingi ila kusameheana kulikuwepo na maisha yaliendelea kama kawaida kumbe alikuwa na lake moyoni.nyi wadada nyiiiieeeeee
hicho kinaitwa kipondo live kama nilichokipata mm kwa Vaislay kaza buti mkuu