Ennie
JF-Expert Member
- Jan 15, 2011
- 7,137
- 4,138
Kwani na wewe umemnunulia mtu prado..???
Malalamiko mengine humu ni bendera tu fata upepo hawajawahi hata kununua baiskeli.
Nakerwa na generalization!!
Kwani na wewe umemnunulia mtu prado..???
Wanaume mnalalamika sana Jf sijui tatizo ni nini!
so tatizo nini?Mi nili invest wa demu mmoja nkajua atakuja kuwa wife to be, juzi amenipa stori kuwa alishabakwa na kuchoropoa mimba.
Sasa kama umeninunulia iphone 5 lkn kila siku nasimangwa nayo na kunifanya mtumwa halafu kuna mtu ananiwekea vocha inayosindikizwa na maneno matamu na mapenzi tele na kionyesha kunijali unadhani ni nani atauteka moyo wangu?
Mimi mwenyewe.
We ulishachoropoa ngp?so tatizo nini?
Habarini za jioni wanajamvi. Hivi hawa watu wakoje jamani? Yaani we umejibana umemnunulia ka Vitz lakini anakuja kukuona haufai kwa ajili ya jamaa aliyemnunulia mafuta ya sh10,000/- Haya hiyo kama haitoshi,umemnunulia smartphone lakini anakuja kumuona wa maana aliye mnunulia vocha ya sh 500. Bado..umempeleka chuo kwa gharama zako lakini anamuona wa maana mwanachuo mwenzie kwa sababu ya kusaidiwa kwenye masomo..woote hao wanamgegeda. Hivi kwanini hapo tusiwe ma Sniper.. INAUMA.
Mimi wa oldmoshi aise.