Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
Nimemaanisha kama mtu umempenda huangalii kuhusu past yake!Yangu mimi hayakuhusu in general!We ulishachoropoa ngp?
Nimemaanisha kama mtu umempenda huangalii kuhusu past yake!Yangu mimi hayakuhusu in general!We ulishachoropoa ngp?
Ukiwa mjanja kuchapiwa ni siri ya ndani!!
pole sana. huyo hakufai. kuwa makini. kumpiga sniper hakusaidii. wewe tafuta ustaarabu mwingine. atakukumbuka tu huko mbele wakati huo itakuwa too late.
vits kitu gani bana, smartphone kitu gani bana, duniani kuna maisha mazuri bila ya ulivyovitaja. hata toyo ni usafiri.
Habarini za jioni wanajamvi. Hivi hawa watu wakoje jamani? Yaani we umejibana umemnunulia ka Vitz lakini anakuja kukuona haufai kwa ajili ya jamaa aliyemnunulia mafuta ya sh10,000/- Haya hiyo kama haitoshi,umemnunulia smartphone lakini anakuja kumuona wa maana aliye mnunulia vocha ya sh 500. Bado..umempeleka chuo kwa gharama zako lakini anamuona wa maana mwanachuo mwenzie kwa sababu ya kusaidiwa kwenye masomo..woote hao wanamgegeda. Hivi kwanini hapo tusiwe ma Sniper.. INAUMA.
Daah!! Ila ndio uzuri wa kujieleza; kwanza inasaidia kupunguza hasira au huzuni na pia unasikia kutoka kwa wengine hivyo unapata ufunuo ya kwamba yanayokutokea yalishawakuta na watu wengine mahala na wakati fulani..Ahsante Mkuu.Kwan mapenzi ya kweli yana exist ?? Tokea ni nusurike kupoteza mwelekeo wa maisha na pesa nyingi sanaa kwenye my business kisa mwanamke miaka ya nyuma. Since then all i trust is Jesus brother. Naishi na mwanamke lakn i hardly open up fully to her. Siku akinitibua nafukuzia mbali. Adam mwenyewe alitendwa na Eva / Hawa miaka hiyoo sembuse wewe ???
Daah!! Ila ndio uzuri wa kujieleza; kwanza inasaidia kupunguza hasira au huzuni na pia unasikia kutoka kwa wengine hivyo unapata ufunuo ya kwamba yanayokutokea yalishawakuta na watu wengine mahala na wakati fulani..Ahsante Mkuu.
Bob hiyo mbona cha mtoto sanaaa......wengine wanapatwa na majanga makubwa huko usiulize. Mi nikiwa down nakuja hapa JF to gain back my self drive and energy at times unakuta matatzo ya wengine ni makubwa mno kushinda yako. So it fills me with soo much hope. We kama vp piga chini na songa mbele na life lako. You got a great life ahead of u. Don't open up fully to these creatures (women) man cz the aftermath of it can be sooo deadly.[/QUOTE
Nimekubali uko sahihi.
Acha tu yalishanikuta nikaanza kusikia harufu ya damu damu,nika google kutafuta the easiest way to commit suicide,wacha niishie hapa,wakina Munisi siwashashangai m_sayi@yahoo.com
Agness habari yako!
Mna shida kubwa nyie viumbe hamna fadhila hata chembe ni kweli usiopingika mwanaune fanya yote hata nunua gari somesha, atakuja jamaa atajichekesha chekesha na mtoko wa jion moja umeshaondoka na umeshasahau kila kitu
vilivyokushinda kula usivitie shombo waachie wenzio
Dawa yako ndogo.....!!! Siku ufo saro wala nini...... nakukeketa bila ganzi