jaman mapenz yanauma balaa hasa pale unapokuwa na mtu then baadae anakuja kukwambia yy n mke au mume wa mtu na umeshakolea cjui knachofuata n nn
jaman mapenz yanauma balaa hasa pale unapokuwa na mtu then baadae anakuja kukwambia yy n mke au mume wa mtu na umeshakolea cjui knachofuata n nn,ila jaman watu wengne muwe na mioyo ya uruma jaman kila mtu ana nyama co jiwe
jaman mapenz yanauma balaa hasa pale unapokuwa na mtu then baadae anakuja kukwambia yy n mke au mume wa mtu na umeshakolea cjui knachofuata n nn,ila jaman watu wengne muwe na mioyo ya uruma jaman kila mtu ana nyama co jiwe
yashanikuta makubwa kama hayo
time will heal you
Ishia hapo hapo maana hii imetokea kwa wengi. Utaacha watu waanze kulia na kushindwa kumaliza weekend zao
kabisa mkuu
mimi mwenyewe nimeona huu uzi nimejisikia vibaya