Inauma sana, ila sina jinsi

Inauma sana, ila sina jinsi

Duh kumbe hata wazee wanapenda uteleziii...then unaweza kukuta watu wanajua ndo baba mwenye nyuma kumbe kiuno ndo kinambeba
 
Ndoa hizi aisee, zina mengi vimbwanga. Kwa maelezo ya mleta maada, huyo mzee alizaa na mama yake mtoto mkubwa tu na keshaolewa huyo mtoto.

Nilivyoelewa hapo, hao watu walipendana sana, sema tu baba (marehemu) wa mleta maada aliingilia kati mapenzi yao (nimejikuta tu nikiwaaza hilo).

Hofu yangu ni, unaweza kuja kushtuka, kumbe mzee huyo alishakabidhiwa Hati ya Nyumba!

Ahsante
 
mnase vibao huyo zee tegemezi la DAR na umfukuze humo Ndan maza akikataa mwambie amfuate anakoishi huyo zee la DAR.
Unaijua movie ya baby boy wewe? Ukiitazama ndio utapata uhalisia wa anachokutana nacho mtoa mada
 
Kwanza pole sana.!
lakini kunakosa kubwa umelifanya kuingilia Ndoa ya mama yako,kwa kumpiga marufuku baba yako(Mme wa mama yako) asifike nyumbani kwa Mke wake.

Yaani hapo nisawa nakumwambia huyo MZEE achane na mama yako.
Hicho ndio kimemfanya mama yako kuchukia kiasi kwamba kukaa kimya takribani hizo siku 3.

KIPI ULICHOTAKIWA KUFANYA:

• Ni kutafuta njia ya namna gani hiyo pesa ya kodi ya nyumba inakuwa na faida kwa familia bila kuingilia Mapenzi yao.

1. Ungeanza kumuuliza mama yako kuhusu jumla ya pesa inayopatikana kwenye kodi hiyo.

2. Ni nani anae pokea kodi hiyo.?

3. Pesa hiyo inawasaidia katika mahitaji gani?

4. Mama akikuuliza mbona maswali hayo mwanangu.

5. Hapo ndipo ungefunguka kwa mama kuwa unahari ngumu kiuchumi, hivyo hutoweza kuendelea kutoa pesa za mahitaji uliyokuwa unawahudumia, na kumuomba mama ajitahidi kusimami pesa ya kodi iliiwe inawasaidi kwenye mahitaji yenu muhimu.

-Hapa inaonekana mama alibweteka(kulizika) kwa pesa za mahitaji ya msingi unayowahudumia ndio maana hata kodi hajali tu na kuishia kutumiwa na kipezi wake(Mme wake).

CHAKUFANYA SASA.

-Kwanza muombe mama msahama, kisha zungumza nae na kumwambia kuwa ugumu wa maisha ndio umekufanya ukasilike hasa pale unapotumia juhudi kubwa kutafuta pesa za kuendeshea familia huku pesa ya kodi hujuwi inafanya Kazi gani, na inapokelewa na nani. Nasio kuingilia MAPENZI YAO(NDOA YAO)

Hapo kama mama ni mwenye Busara ata kuelewa.

...........pole sana ndugu.................
Daaaaaaaah busara Kama hizi ndio tunazihitaji sisi vijana Wa Leo... mkuu
 
Siwezi kufanya hivyo, hata hao wapangaji wakitoa ela ya kodi mama alishawaambia mkinipa ela ya kodi wanangu wasione, sasa kama kasema hvyo kuna umuhimu wa kuulizia ela hapo? na maumivu tu hapa moyoni mwangu sina namna

Siwezi kufanya hivyo, hata hao wapangaji wakitoa ela ya kodi mama alishawaambia mkinipa ela ya kodi wanangu wasione, sasa kama kasema hvyo kuna umuhimu wa kuulizia ela hapo? na maumivu tu hapa moyoni mwangu sina namna
Simple...

Acha kitoa matumizi.
Tangaza hali mbaya hata kwa miezi 6
Mwambie maza kodi ndio ibusti

Asipokuelewa mwombe mkopo
 
chukua panga jamaa angu... baba alitafuta kwa jasho kwa ajilo yenu nyie watoto wake... usileee ujinga chali angu...! Uliweza kumvumilia sana asee ingekuwa mimi kama mama anampenda angeondoka nae wakaishi kwao mi nibaki na mdogo angu! Usilee ujinga bob! Baba alikuacha kama kichwa apo acha kuwa mkia mshkaji
 
Back
Top Bottom