Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,367
- 161,495
AmenMimi nakupenda
AmenMimi nakupenda
Wahenga walisema "mpende akupendaye, asiyekupenda achana nae" hivyo mimi ni nani hata nisitii na kufuata hekima za mababu zetu Wa kale?
Nimeandika nyuzi kama tatu hivi, nikiwa na ombi la kupata mrembo ambaye kwa badae atakuwa Mrs. wangu, sijapiemuiwa hapa na dada yyte yule. Sasa inatosha
Nimejaribu kushusha vigezo mpaka kufikia hatua ya kuonekana natania lakini nimetoka kapa. Sasa nasema inatosha.
Wadada wa JF wanafiki sana...kila siku mnaandika nyuzi za kuomba mpatiwe Mme bora. Leo najitokeza kuomba kura mnaniyima. Ooh mara Nebu unavigezo vikubwa sijui unabagua dini,. Sasa nilivitoa vigezo vyote mlivyovilalamikia mbona hamjanipiemu sasa? Huo ni unafiki mkumbwa. Nasema inatosha.
Nyie si mpaka muone najimwambafy kama Kiduku Lilo ndo mjue kwamba na uwezo wa kuwahudumia? Anyway nshasema inatosha...nitampata zaidi yenu. Na ukiona uolewi hujue hiyo ni laana ya kukataa waoaji kama sisi.
Sitaki kuongeza wiki moja wala siku tatu kama serikali ilivyofanya kwa mafisadi. Nachoweza kusema tu kwa sasa inatosha.
Mke mwema anatoka kwa Bwana, hatoki JF.
Asanteni.
Vigezo kaondoa vyoteSijaona vigezo vya mtoa mada
Usife moyo, sasa wamegundua upo seriousWanataka nijimwambafy kama kiduku ndo wanielewe.
Nimeshampata mkuu ntamtambukisha kwenu rasmi.Usife moyo, sasa wamegundua upo serious
Ngoja nitafute hela kwanza niwe kama Kiduku Lilo kisha na mimi nije kuweka tangazoNimeshampata mkuu ntamtambukisha kwenu rasmi.
Nshampata tayari ntamtambulisha kwenu IPO cku.Uliweka vigezo vingii kama unahitaji malaika bana, polee weka kigezo kimoja tu awe ke nije fastaa[emoji1]
Nshampata tyari....Alafu vigezo ulivotaka napata mashaka nawewe aseee age 20-26 [emoji81][emoji81]
OK, hongeraa msalimie sana malaika Mrs NebuNshampata tayari ntamtambulisha kwenu IPO cku.
Njoo kwangu huyo kishapataUliweka vigezo vingii kama unahitaji malaika bana, polee weka kigezo kimoja tu awe ke nije fastaa[emoji1]
Vigezo gani unahitaji am just ke sina sifa zingine ujue[emoji3] [emoji3] tusije sumbuana bureeNjoo kwangu huyo kishapata
Nshampata tyari....
Vigezo gani unahitaji am just ke sina sifa zingine ujue[emoji3] [emoji3] tusije sumbuana buree
Zimefika .OK, hongeraa msalimie sana malaika Mrs Nebu
Nshapata jamani.Nimecheka hadi machozi, nenda chit chat, mshana dawa zake zilifanya wanawake wanajisahau, wakaamuwa kuweka picha zao nusu,mshana akaongeza dozi wakaweka hadi nusu uchi, sasa wewe utakosaje mwanamke kwa promo ile?
Nenda uchakue kifaa kwenye ule Uzi wacha kulialia.
Mchana kawarahisisia kazi wacheni uzembe.
Mshana Mungu utamwambiaga nini? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vigezo gani unahitaji am just ke sina sifa zingine ujue[emoji3] [emoji3] tusije sumbuana buree