data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,945
- 23,891
Msaidieni aisee.. He is serious.Umepanic mkuu
Msaidieni aisee.. He is serious.Umepanic mkuu
NakaziaHivi mkuu umeshindwa kutafuta wa mtaani kwako, kanisani/msikiti kwako, uliosoma nao, unaofanya nao kazi, unaochat nao WhatsApp, unaokutana nao kwenye mizunguko yako ya kila siku ukajichagulia sample unayoitaka kwa vigezo vyako ukaamua kuja kutafuta mke hapa ?
Nimeacha nao wadada wa JF...Hivi mkuu umeshindwa kutafuta wa mtaani kwako, kanisani/msikiti kwako, uliosoma nao, unaofanya nao kazi, unaochat nao WhatsApp, unaokutana nao kwenye mizunguko yako ya kila siku ukajichagulia sample unayoitaka kwa vigezo vyako ukaamua kuja kutafuta mke hapa ?
Vpi mlevi?
Msaidieni aisee.. He is serious.
Amemind... Mpoozeni.Amesusa sasa itakuaje
Nimeghairi ngoja nideal na wa mitaani hawa kina Kigogo_2014 niachane nao.Jaribu kuwacheki PM Mkuu..
Mtafutaji hachoki.
Hahahaha...Nakusktikia tu
Penda pombe ndo kila kitu
Sijasusa mzigua nimeamua.Amesusa sasa itakuaje
Asante sana mremboPole mkuu ndoukubwa
Sijasusa mzigua nimeamua.
Wanataka nijimwambafy kama kiduku ndo wanielewe.Wadada wa JF .. Nafasi hiyo sasa ....
Jamaa kaamua asiende mbali..nanyinyi ndo mnakua ivo duuuhhh!!!
Au kisa yeye sio Maarufu sana humu?????
Nenda mtaani hutojuta ni techniques zako tu unapata watoto kama woteNimeghairi ngoja nideal na wa mitaani hawa kina Kigogo_2014 niachane nao.