Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,701
0713096076Hii nikija na fundi wangu
6.3 utapokea??Gari ipo wapi
Nina shida ya gari.
Budget yangu 6M.
Gari iwe kati ya Vits new model(engine 1N) namba D,Spacio new model hata namba C,Ist hata namba C,Raum hata namba C.
Iwe kati hali nzuri,Isiwe na kipengele ni kuwasha na kuchanja mbuga.
Nipo na fundi makini sana kwahiyo km tunafanya biashara basi iwe straight isiyo ya kihuni huni.
tena anapiga huku na huku unanunua kimeo ukaangaike nachovitu vidogo ndio kipengele hiko kaka7.5 mil hiyo ni namba D tena ambayo haina kipengele zaidi ya vitu vidogo vidogo
Nina passo bado mpya kabisa, naiuza nataka ninunue kiwanja njoo na hiyo pesa nikupe gsri imetunzwa sana inatoboa popote ulipo hila kusimama njiani. Ukilipa tu nakuletea mpaka ulipo wala hina haja ya kuja na fundi. Ndo kwanza ina 60k km
Sossy hana uongo![]()
Sossy katishaSossy nimetoka kwake hata week haijaisha.
Tumekubaliana tukutane sehemu mimi nimefika saa 3 asubuh yeye hadi saa 6 na nusu hajafika
Nikasema hata kama nina shida ila sio ndo nimsuburi mtu masaa 3:30 nikaondoka bila kumwambia nione atafika sa ngapi,saa 8:15 ananipigia nikamwambia nimeondoka
Kile kitu kilikwazA nikaacha kabisa kufuatilia kwenye page yake.
View attachment 2132650
Garili liko vizuri sana inatakiwa 6.5