dre4691
JF-Expert Member
- Feb 22, 2016
- 549
- 518
Nina shida ya gari.
Budget yangu 6M.
Gari iwe kati ya Vits new model(engine 1N) namba D,Spacio new model hata namba C,Ist hata namba C,Raum hata namba C.
Iwe kati hali nzuri,Isiwe na kipengele ni kuwasha na kuchanja mbuga.
Nipo na fundi makini sana kwahiyo km tunafanya biashara basi iwe straight isiyo ya kihuni huni.
Budget yangu 6M.
Gari iwe kati ya Vits new model(engine 1N) namba D,Spacio new model hata namba C,Ist hata namba C,Raum hata namba C.
Iwe kati hali nzuri,Isiwe na kipengele ni kuwasha na kuchanja mbuga.
Nipo na fundi makini sana kwahiyo km tunafanya biashara basi iwe straight isiyo ya kihuni huni.