Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
[h=3]MAJONZI, HUZUNI, NA SIMANZI ZIMETAWALA LEO MAENEO YA KIJENGE JUU KATA YA KIMANDOLU ILIYOKO MKOANI ARUSHA BAADA YA KITOTO KICHANGA KUKUTWA KIMETUPWA CHINI YA MLIMA KIVESI[/h]
<tbody>
</tbody>
Mtoto mwenye umri wa siku moja mwenye jinsia ya kike aliyetupwa akiwa ndani ya ndoo kama anavyoonekena katika picha ya juu na chini |
<tbody>
</tbody>