Jidu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 1,232
- 754
Jana nikiangalia habari saa 2 usiku kituo cha ITV, kuna habari ilinisikitisha sana,Imekuwa ni kawaida ya kuona wagonjwa wa akili wakila majalalani.
Lakini huko Dodoma watu wenye utimamu wa akili wakila jalalani na familia zao, mama mmoja akionekana akila na mtoto wake umri kama mwaka mmoja na nusu hivi vyakula vilivyotupwa jalalani.
Hivi hii serikali yetu ipo wapi? Watu wanahali mbaya kiasi hichi wananyang'anyana vyakula na mbwa jalalani. Huu ni wakati wakuchukua maamuzi magumu na si usanii kila kukicha.
Lakini huko Dodoma watu wenye utimamu wa akili wakila jalalani na familia zao, mama mmoja akionekana akila na mtoto wake umri kama mwaka mmoja na nusu hivi vyakula vilivyotupwa jalalani.
Hivi hii serikali yetu ipo wapi? Watu wanahali mbaya kiasi hichi wananyang'anyana vyakula na mbwa jalalani. Huu ni wakati wakuchukua maamuzi magumu na si usanii kila kukicha.