Inasikitisha! Ubadhirifu mkubwa TANAPA

Inasikitisha! Ubadhirifu mkubwa TANAPA

Status
Not open for further replies.
Unaulizwa kifaa bei gani hujibu, unaambiwa vifaa vimetolewa msaada labda utaomba thread ifutwe sasa.

acha ubishi wa kijinga tanapa wenyewe ndio walisema wananunua vifaa kwa bei hyo pia UKISEMA NI MSAADA NAKUPINGA, hakuna msaada wa bure ww ndio yale majitu home hakuna hela unakubali mke wako awe anaewa hela na marafiki pumba kabisa wewe
 
Mleta mada, sema wewe bei ya hivyo vifaa ni sh ngapi? Halafu acha kuongopa. Vifaa hivyo havikununuliwa na tanapa, isipokuwa taasisi ya kuhifadhi tembo inayoongozwa na dk. Kikoti. Majungu yako kwa TANAPA hayana ukweli wowote. Tafuta jingine. Hili umechemka mbaya.

kwa akili yako ndogo unafikiri kuna kitu utapewa bure na wazungu? Alafu hukufuatilia hii habari ilivyoelezewa na tanapa kenge ww so kua na uelewa
 
Kwa hili hata mimi mwana ukawa nakupinga. Vile vifaa vinafungwa kwa tembo mmoja katika kila familia ya tembo, usidhani tembo wanaishi kama nyumbu! Pale utakuta kuna hadi binamu na wakwe.

hujaelewa thread yangu hii ndio hudhihirisha iq za wabongo ni ndogo ukiwemo ww
 
walisema tembo viongozi wa makundi 30 ya Ruaha ndiyo watafungwa.
 
Kuhusu hicho kifaa mtoa mada umekosa chanzo sahihi...labda tuangalie ukweli wa hoja zako za upande wa pili..
 
Kama ni kweli Kijazi jiandae utashukiwa kama mwewe..ukweli ni kwamba sasa tumepata Rais Kiongozi mkuu wa nchi sio Kama jamaa yule alikua anawambia watu ..nawashauri mhsme msife na mafuriko...
 
Hivi mtoa mada upo darasa la ngapi na una umri gani maana ni vigumu kuelewa kama mada hii imetolewa na mtoto au mtu mzima !
Kama huwezi hata kuandika kitu kinachoeleweka basi ndo maana mnaibiwa sana !!
 
Hivi mtoa mada upo darasa la ngapi na una umri gani maana ni vigumu kuelewa kama mada hii imetolewa na mtoto au mtu mzima !
Kama huwezi hata kuandika kitu kinachoeleweka basi ndo maana mnaibiwa sana !!

usijitoe ufahamu kama hukuelewa ULIWASHWA NN KUANDIKA KAMA SI KUTAKA KUPIGWA DUDU?
 
walisema tembo viongozi wa makundi 30 ya Ruaha ndiyo watafungwa.

kwani ruaha tu ndio kuna tembo? Ina mana wamekosa alternative hadi wafkirie kufunga mnyama kifaa, kwani majangili watashindwa kufungua hcho kifaa kama wanaweza kuwaua wanyama?
USIWE NA IQ NDOGO HIVYO
 
Kifaa cha kumonitor tembo 30ml hizo pembe moja inauzwa bei gqni
 
kwani ruaha tu ndio kuna tembo? Ina mana wamekosa alternative hadi wafkirie kufunga mnyama kifaa, kwani majangili watashindwa kufungua hcho kifaa kama wanaweza kuwaua wanyama?
USIWE NA IQ NDOGO HIVYO
" What we've got here is failure to communicate. Some men you just can't reach. So you get what we had here last week, which is the way he wants it. Well, he gets it. I don't like it any more than you men."
 
Mod ondoeni uzi huu wa uongo. Hakuna kifaa kilichonunuliwa na Tanapa. Huu ni msaada tu wa taasisi iliyo kwenye mapambano ya kuwalinda tembo. Uzi wa aina hii uliojaa uongo unashusha hadi ya JF.

Presha inapanda eeh?!
 
Thread nzuri sana ila reasoning iliyotumika hainivutii!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom