Inasikitisha kwamba hospitali ya rufaa ya Bugando hawana mashine za MRI wala CT Scan

The Evil Genius

JF-Expert Member
Mar 21, 2014
6,002
19,468
Hospitali ya Bugando ni hospitali kongwe na kubwa hapa Tanzania.

Ni hospitali ya rufaa katika mikoa yote ya kanda ya ziwa na mikoa ya jirani.

Cha ajabu na cha kusikitisha hospitali kubwa kama Bugando hawana mashine za MRI wala CT Scan.

Serikali na wamiliki wa hii hospitali wafanye jitihada kuweza kununua hivyo vifaa.

Inashangaza kufika Bugando unahitaji hivyo vipimo ukaambiwa ukavitafte kwenye hospitali ndogo ndogo za watu binafsi.
 
Hospitali ya Bugando ni hospitali kongwe na kubwa hapa Tanzania.

Ni hospitali ya rufaa katika mikoa yote ya kanda ya ziwa na mikoa ya jirani.

Cha ajabu na cha kusikitisha hospitali kubwa kama Bugando hawana mashine za MRI wala CT Scan.

Serikali na wamiliki wa hii hospitali wafanye jitihada kuweza kununua hivyo vifaa.

Inashangaza kufika Bugando unahitaji hivyo vipimo ukaambiwa ukavitafte kwenye hospitali ndogo ndogo za watu binafsi.
zipo ila zilifungiwa stoo, zilitolewa msaada na wazungu.
 
Hospitali ya Bugando ni hospitali kongwe na kubwa hapa Tanzania.

Ni hospitali ya rufaa katika mikoa yote ya kanda ya ziwa na mikoa ya jirani.

Cha ajabu na cha kusikitisha hospitali kubwa kama Bugando hawana mashine za MRI wala CT Scan.

Serikali na wamiliki wa hii hospitali wafanye jitihada kuweza kununua hivyo vifaa.

Inashangaza kufika Bugando unahitaji hivyo vipimo ukaambiwa ukavitafte kwenye hospitali ndogo ndogo za watu binafsi.


Tunanunua ndege kwanza na kujenga viwanja makwetu. Hayo mambo yaenu ya afya, sijui MRI na CT scan na madawa mengine siyo vipaumbele vyetu. Hivyo mtajiju. Ili mradi sisi tukiugua tunakwenda ulaya na india kutibiwa, tuna hofu gani?

SHAURI LENU. KWANZA UNALETA HAPA UNATAKA NINI? NANI AKUSAIDIE? KWANI SISI NDIO TUNALETA MAGONJWA? UNALETA UCHOCHEZI TU HAPA WATU WAPIGE KELELE. KWANZA HATA UKIWAAMBIA WAKIPIGA KELELE, WATATULAZIMISHA KUFANYA WATAKAYO? LINI WALITUPIGIA KELELE TUKAFANYA KWA NIA SAHIHI NA KIWANGO HALISI.

FANYA KAZI, ACHA KULETA UCHOCHEZI HAPA. MAMBO YENU YA AFYA SI KIPAUMBELE CHETU!. FULL STOP.
 
Tunanunua ndege kwanza na kujenga viwanja makwetu. Hayo mambo yaenu ya afya, sijui MRI na CT scan na madawa mengine siyo vipaumbele vyetu. Hivyo mtajiju. Ili mradi sisi tukiugua tunakwenda ulaya na india kutibiwa, tuna hofu gani?

SHAURI LENU. KWANZA UNALETA HAPA UNATAKA NINI? NANI AKUSAIDIE? KWANI SISI NDIO TUNALETA MAGONJWA? UNALETA UCHOCHEZI TU HAPA WATU WAPIGE KELELE. KWANZA HATA UKIWAAMBIA WAKIPIGA KELELE, WATATULAZIMISHA KUFANYA WATAKAYO? LINI WALITUPIGIA KELELE TUKAFANYA KWA NIA SAHIHI NA KIWANGO HALISI.

FANYA KAZI, ACHA KULETA UCHOCHEZI HAPA. MAMBO YENU YA AFYA SI KIPAUMBELE CHETU!. FULL STOP.
kaka nashindwa kukuelewa, hii ni hospital binafsi inawamiliki wake ndio wenye wajibu wa kununua vifaa vya hospital, ila naona unaongea kama unatokea kishumundu, sijui umelewa mbege au unamatatizo ya akili.
 
Alisema akikwaa urais ataakikisha Mwanza panakuwa Geneva Uswis au ilikuwa utapeli wa kura mnisaidie ,bila ile ya msaada ya kusherekea uhuru Mwanza mpaka sasa ni zero kila kitu Dar ,tunazindua
 
kaka nashindwa kukuelewa, hii ni hospital binafsi inawamiliki wake ndio wenye wajibu wa kununua vifaa vya hospital, ila naona unaongea kama unatokea kishumundu, sijui umelewa mbege au unamatatizo ya akili.
Serikali ina hisa zake hapo mi si Kishmundu ni wa Ipalamasa simiyu
 
kaka nashindwa kukuelewa, hii ni hospital binafsi inawamiliki wake ndio wenye wajibu wa kununua vifaa vya hospital, ila naona unaongea kama unatokea kishumundu, sijui umelewa mbege au unamatatizo ya akili.

Nimesema shauri lenu!

Kama hujui wajibu wa regulatory systems, nyamaza kimya, usilet ujinga hapa.
 
Hata wangekuwa nazo hizo mashine hazisaidii. Unapimwa majibu unaambiwa uko OK lakini ukienda nje ya nchi MRI na CT Scan hiyohiyo unaambiwa una tatizo kubwa!! Unapewa dawa na kweli unapona. Sasa ya kazi gani kuwa na mshine wakati hamna wataalam wa kuzitumia?
 
Nimesema shauri lenu!

Kama hujui wajibu wa regulatory systems, nyamaza kimya, usilet ujinga hapa.
wewe ndio mpumbavu, lift ya serena hotel ikiharibika serikali itengeneze, basi la abood likipinguka serikali itengeneze, regulatory systems ndio nini? haya manyumbu ya chadema sijui mbowe anayatoaga wapi? haya nenda kwenye page ya Mange uka like keshamtukana mtu tayari.
 
Hakuna hospitali ndogo ndogo kanda ya ziwa ina MRI.

Sidhani kama Tanzania kuna MRI zaidi ya tatu.

CT SCAN nazo zikizodi sana zitakuwa 4

Na hizi zote CT SCAN na MRI zote zipo DAR es salaam
 
kaka nashindwa kukuelewa, hii ni hospital binafsi inawamiliki wake ndio wenye wajibu wa kununua vifaa vya hospital, ila naona unaongea kama unatokea kishumundu, sijui umelewa mbege au unamatatizo ya akili.
Wewe ndiye umelewa mavi, afya ya raia ni jukumu la serikali, hawa wanaisaidia serikali, katapike hayo mavi urudiwe na akili
 
haya sema hisa za serikali ni ngapi hapo? simiyu hamna wajinga wajinga kama wewe!
Sijui kama unajua Kiingereza ila ni hivi serikali nayo ina mkono wake tuondoe mambo ya hisa maana hii siyo biashara.
"in October 1985 the Government handed back the Hospital to the Tanzania Episcopal Conference of the Catholic Bishops of Tanzania who is the owner with an agreement that the hospital be run in partnership with the government to provide Government Services as a referral and consultant hospital for the Lake Zone."
Kwa hiyo husimtukane mwenzio anachosema ni kweli ila wewe ndiyo uelewi au kwa Kiswahili chako mjinga mjinga
 
Hakuna hospitali ndogo ndogo kanda ya ziwa ina MRI.

Sidhani kama Tanzania kuna MRI zaidi ya tatu.

CT SCAN nazo zikizodi sana zitakuwa 4

Na hizi zote CT SCAN na MRI zote zipo DAR es salaam
Hujatembea wewe...unaishi kwenye godown la maficho ya bavich
 
Back
Top Bottom