Vurugu gani...we jamaa utakuwa mgonjwa wa akili si bure....yaani ufanye fujo chuoni kwa sababu ya kipumbavu kama hii.....utakuwa mwanafunzi mpuuzi sana kwani hiki ndio kimekupeleka chuo?....Mwendo wa kupanga na kupangau hii tabia imefika huku vyuoni ikiendelea italeta vurugu siku za mbeleni
USSRView attachment 1982217
Mm na uanafunzi wapi na wapi kilaza wewe mm nilihitimu shahada ya kwanza 2006 na sijawahi kusoma hapa bongolala ,Vurugu gani...we jamaa utakuwa mgonjwa wa akili si bure....yaani ufanye fujo chuoni kwa sababu ya kipumbavu kama hii.....utakuwa mwanafunzi mpuuzi sana kwani hiki ndio kimekupeleka chuo?....
Uzuri ukifanya upuuzi wa hivi moja kwa moja unarudi kwenu ukasaidie kazi wazee wako...
Samia atawateuwaBaraza la kibaguzi sana hakuna hata Muislam mmoja? Ubaguz wa kidini unaanzia vyuoni kumbe na hao wote ni ccm johnthebaptist
Naye anasoma Mzumbe?Samia atawateuwa
USSR
Watoto wajinga sana. Wakimaliza shule na kuingia mtaani kwenye uhalisia ndio maana wanachanganyikiwa. Eti uteuzi wake umetenguliwa?!😀Wanaacha kusoma wanawaza upuuzi tu..mwanafunzi anakuaje mheshimiwa?
Zamani walikuwa wanasema wanasheria wa kiwango cha Cheti na Diploma kutoka Mzumbe ni bora kuliko wale wa LLB kutoka Udsm.Baraza la kibaguzi sana hakuna hata Muislam mmoja? Ubaguz wa kidini unaanzia vyuoni kumbe na hao wote ni ccm johnthebaptist