Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 23,961
- 42,166
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Hivi huyu mkuu wa usalama wa taifa hicho cheo alikipataje?
Chawa wake ni akina nani , ana magari mangapi, analala chumba gani, ana watoto wangapi, kaiba sh ngapi, yaan kwa kifupi ni hovyo kabisa
Anazidiwa mpaka na akina Jesca Magufuri ni ngumu sana kujua mambo yao lakin yeye kila jambo lake liko hewani, yaani mkuu wa usalama wa taifa ufisadi wake wote unajulikana e anazomiliki zinajulikana
Big up sana kwa mkuu wa majeshi jamaa ni secret ile mbaya
LONDON BOY
Hivi huyu mkuu wa usalama wa taifa hicho cheo alikipataje?
Chawa wake ni akina nani , ana magari mangapi, analala chumba gani, ana watoto wangapi, kaiba sh ngapi, yaan kwa kifupi ni hovyo kabisa
Anazidiwa mpaka na akina Jesca Magufuri ni ngumu sana kujua mambo yao lakin yeye kila jambo lake liko hewani, yaani mkuu wa usalama wa taifa ufisadi wake wote unajulikana e anazomiliki zinajulikana
Big up sana kwa mkuu wa majeshi jamaa ni secret ile mbaya
LONDON BOY