Inashangaza: Je, mifuko ya plastic imerudi mtaani?

Inashangaza: Je, mifuko ya plastic imerudi mtaani?

Dumas the terrible

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2021
Posts
5,347
Reaction score
11,100
Wana JF wote nawasalimia,
Natumaini mpo powa.

Husika na kichwa Cha habari hapo juu,Leo nimeona mahali mifuko ya plastic maarufu Kama Rambo inatumika Kama vifungashio,

Sasa wakuu nimejaribu kumuuliza aliyeubeba akananimbia waliruhusu Toka mwezi wa nne
Ila Mimi binafsi sikuona tangazo la kuiruhisu mbaka napata hofu labda Kuna watu wanaamua kuihujumu Serikali,

Mifuko ya plastic maarufu Kama Rambo inasababisha uharibifu mkubwa wa mazingira sie wenyewe ni mashahidi wa Hilo tokea ilipopigwa marufuku huku bara kumekua na ahueni kwenye majiji makubwa kama
Dar Es Salaam maana uchafuzi ulikua wa kiwango kikubwa Sana ila baada ya kupigwa marufuku ahueni tumeiona,

Sasa nauliza hiyo taarifa ya kurudishwa ni ya ukweli au Kama Bado nipo kizani!

Anyway picha Sina ya hizo mifuko mtajazia wenyewe mkipata!

The terrible!
 
Ukihoji utaambiwa usiwasumbue wawekezaji kutoka india hii nchi bana
Aisee mkuu hata Mimi nimewaza Hivyo ila inashangaza itakuaje aruhusu huku bara wakati huko kwao walipiga marufuku Ina maana wanatuchezea akili au sio?
 
Me nadhani irudi tu, maana unaenda dukani kununua bidhaa ya jero but unaambiwa mfuko 200. Tangu nimezaliwa nimeikuta ile mifuko hadi nimekuwa mtu mzima sijaona madhara yoyote. Kuhusu uchafu dsm hata wangeleta nini bado dsm ni chafu sababu ya nature ya watu wenyewe. Wengi wachafu.
 
Wana JF wote nawasalimia,
Natumaini mpo powa.

Husika na kichwa Cha habari hapo juu,Leo nimeona mahali mifuko ya plastic maarufu Kama Rambo inatumika Kama vifungashio,

Sasa wakuu nimejaribu kumuuliza aliyeubeba akananimbia waliruhusu Toka mwezi wa nne
Ila Mimi binafsi sikuona tangazo la kuiruhisu mbaka napata hofu labda Kuna watu wanaamua kuihujumu Serikali,

Mifuko ya plastic maarufu Kama Rambo inasababisha uharibifu mkubwa wa mazingira sie wenyewe ni mashahidi wa Hilo tokea ilipopigwa marufuku huku bara kumekua na ahueni kwenye majiji makubwa kama
Dar Es Salaam maana uchafuzi ulikua wa kiwango kikubwa Sana ila baada ya kupigwa marufuku ahueni tumeiona,

Sasa nauliza hiyo taarifa ya kurudishwa ni ya ukweli au Kama Bado nipo kizani!

Anyway picha Sina ya hizo mifuko mtajazia wenyewe mkipata!

The terrible!
Iko wapi?
 
Me nadhani irudi tu, maana unaenda dukani kununua bidhaa ya jero but unaambiwa mfuko 200. Tangu nimezaliwa nimeikuta ile mifuko hadi nimekuwa mtu mzima sijaona madhara yoyote. Kuhusu uchafu dsm hata wangeleta nini bado dsm ni chafu sababu ya nature ya watu wenyewe. Wengi wachafu.

Simple. Weka sheria kali yenye faini na kifungo na iwe active alafu uone kama mtu atatupa mfuko sehemu isiyo sahihi.
 
Me nadhani irudi tu, maana unaenda dukani kununua bidhaa ya jero but unaambiwa mfuko 200. Tangu nimezaliwa nimeikuta ile mifuko hadi nimekuwa mtu mzima sijaona madhara yoyote. Kuhusu uchafu dsm hata wangeleta nini bado dsm ni chafu sababu ya nature ya watu wenyewe. Wengi wachafu.
Hujielewi mkuu, trust me!
 
Kama wameiruhusu basi ni wapumbavu na wamepungukiwa akili. Yoyote aliyehusika katika kuruhusu matumizi ya hii mifuko ni mkosefu mkubwa wa akili, ameangalia yeye na familia yake.
 
Hujaona madhara ya mifuko ya plastic? Ujinga unatumaliza watanzania
Me nadhani irudi tu, maana unaenda dukani kununua bidhaa ya jero but unaambiwa mfuko 200. Tangu nimezaliwa nimeikuta ile mifuko hadi nimekuwa mtu mzima sijaona madhara yoyote. Kuhusu uchafu dsm hata wangeleta nini bado dsm ni chafu sababu ya nature ya watu wenyewe. Wengi wachafu.
 
Mkuu, Acha roho ya Bibi yako...Acha watu wapige pesa
Naona umepata kibarua Cha kuchakata Rambo na umeajiriwa na mhindi Kwa malipo ya buku jero Kwa siku
Ila jua unatengeneza sumu ya kuulia mazingira watu Kama nyie ndio mnaoihujumu Nchi aiseee!
 
Back
Top Bottom