Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,926
- 4,523
Hili dubwana linaloitwa TEC Lina mambo mengi sana nyuma ya pazia Hadi inafika wakati mtu unashindwa kuelewa hi TEC iliundwa Kwa ajili ya dini au kazi nyingine ambayo sisi hatuijui
Nilipopata hizi habari kuwa Mbowe pale CHADEMA alikuwa king'ang"anizi ila TEC ndio wamemuondoa nilikuwa sijaamini ila siku niliyomsikia Lisu akisema kuwa walienda mara nyingi msimbazi Center kusuruhishwa ndio nikaunganisha doti na kuamini kuwa ni kweli TEC ndio waliofanya kazi ya kumng'oa Mbowe pale CHADEMA
Inaonekana Mbowe alikataa kuwa kibaraka wa TEC ndio maana wakamuondoa Ili kuweka vibaraka wao akina Lisu na Heche
Na hata ukiangalia Kauli za Lisu , Heche na TEC zinafanana
Lisu alisema tutakinukisha
Heche alisema uchaguzi mwaka huu hautafanyika
TEC wao wakawajaza waumini wao chuki Ili wafanye Fujo siku ya Uchaguzi Ili Uchaguzi uvurugike na nchi isitawalike
Katika speech yake Heche kuwa uchaguzi mwaka huu hautafanyika alisema ameongea na vyombo vya dini mbalimbali bila ya shaka watakua ndio hao TEC
www.facebook.com
Inaonekana TEC na CHEDRMA walikuwa wamejipanga mda mrefu jinsi ya kuvuruga uchaguzi pamoja na Amani ya nchi na hatimaye nchi isitawalike hongera sana vyombo vyetu vya usalama kuzima hili jaribio la watu waovu dhidi ya Taifa letu
Nilipopata hizi habari kuwa Mbowe pale CHADEMA alikuwa king'ang"anizi ila TEC ndio wamemuondoa nilikuwa sijaamini ila siku niliyomsikia Lisu akisema kuwa walienda mara nyingi msimbazi Center kusuruhishwa ndio nikaunganisha doti na kuamini kuwa ni kweli TEC ndio waliofanya kazi ya kumng'oa Mbowe pale CHADEMA
Inaonekana Mbowe alikataa kuwa kibaraka wa TEC ndio maana wakamuondoa Ili kuweka vibaraka wao akina Lisu na Heche
Na hata ukiangalia Kauli za Lisu , Heche na TEC zinafanana
Lisu alisema tutakinukisha
Heche alisema uchaguzi mwaka huu hautafanyika
TEC wao wakawajaza waumini wao chuki Ili wafanye Fujo siku ya Uchaguzi Ili Uchaguzi uvurugike na nchi isitawalike
Katika speech yake Heche kuwa uchaguzi mwaka huu hautafanyika alisema ameongea na vyombo vya dini mbalimbali bila ya shaka watakua ndio hao TEC
19 comments | ...WALISHAPANGA UHAINI MUDA MREFU.. Kinachotusikitisha ni kwa Nini Mamlaka hazikuchukua hatua Kali mapema kuzia Vibaka waliovamia Vichochoro kupora, kuharibu Mali na Miundombinu. Ogopa Mungu na technology tu. | Gavana Viera Jilumbi
...WALISHAPANGA UHAINI MUDA MREFU.. Kinachotusikitisha ni kwa Nini Mamlaka hazikuchukua hatua Kali mapema kuzia Vibaka waliovamia Vichochoro kupora, kuharibu Mali na Miundombinu. Ogopa Mungu na...
Inaonekana TEC na CHEDRMA walikuwa wamejipanga mda mrefu jinsi ya kuvuruga uchaguzi pamoja na Amani ya nchi na hatimaye nchi isitawalike hongera sana vyombo vyetu vya usalama kuzima hili jaribio la watu waovu dhidi ya Taifa letu