Miaka kidg ya nyuma kuna mnenguaji mmoja wa bendi ya African Stars kabla ya kufariki,alitoa list ya watu watakaomfuata kwa Israel baada ya yy kutangulia.Kaka anayeugua sasa jina lake nae lilikuwemo!!!!!Nikumbushe mdau
Miaka kidg ya nyuma kuna mnenguaji mmoja wa bendi ya African Stars kabla ya kufariki,alitoa list ya watu watakaomfuata kwa Israel baada ya yy kutangulia.Kaka anayeugua sasa jina lake nae lilikuwemo!!!!!Nikumbushe mdau
umenikumbusha mbali sana enzi za Diamond Sound wako Sillent INN.......Ilikuwa balaaa masteji shoo akina Diana Aston Villa...Mariam Zidane...Lilian Internet...Erika Evander Holfield...Aisha Madinda dah ....Shenazi alipata ajali ya basi akafaewaaaaaaaaa hahaa you nailed it Broo
kumbe unakumbu kumbu njema kiasi hcho hahaa
enzi za kina mama mingoi hizo na shangingi La mashangingi Shenazi..
kama yule SHENAZI ndio aliharibu na kuuwa watu wengi mnoooo ..saloon yake walikuwa wanashinda machoko tu ..nakila anapokwenda wame mzunguka...haya mambo Yakina delicious yalianzaga kitambo hahaa..enzi za FM club kinondoni
Aisha alikuwa best yangu sana kipindi hicho ana saluni KimaraSana, asikuambie mtu.
way back hiyo mkuuumenikumbusha mbali sana enzi za Diamond Sound wako Sillent INN.......Ilikuwa balaaa masteji shoo akina Diana Aston Villa...Mariam Zidane...Lilian Internet...Erika Evander Holfield...Aisha Madinda dah ....Shenazi alipata ajali ya basi akafa
Shenazi, alifia mbeya pale mlima nyoka, akitokea Tunduma. Walikuwa mashangingi wa ukweli sana. Unajua wengi wanachanganya ushangingi na umalaya, ni vitu viwili tofauti. Shangingi ni Dada la ukweli, linajua kila kitu. Kwenye ustaarabu na ushauri hulikosi, kwenye utemi na ushari hulikosi, kwenye mishemishe ulikosi, kwahiyo linakuwa full occupied. Sasa utakuja kukuta Malaya mtu anamuita shangingi nachukia sana mimi.umenikumbusha mbali sana enzi za Diamond Sound wako Sillent INN.......Ilikuwa balaaa masteji shoo akina Diana Aston Villa...Mariam Zidane...Lilian Internet...Erika Evander Holfield...Aisha Madinda dah ....Shenazi alipata ajali ya basi akafa
Aiseeh hatari, unajua alikuwa mzuri hadi unyayo, ila wajanja wanafaidi sana. Nilikaa nae hotel moja Rungwe wewe acha tu, mtoto anakunywa heniken, wewe na mashost zake na meneja Mujibu, hapa kuna Born Manjonjo weweeeh, acha hiyo (RIP Born) jamani kufa kupo.Aisha alikuwa best yangu sana kipindi hicho ana saluni Kimara
Umeona eeh jamaa aliisha jipima sijui kwa kipimo gani kuhusu uwezo wake wa akili na kinachofurahisha maandiko yake mengi anasifia uwezo wake wa akili,jua tu kuna shida fulani kwa jamaa sema ndo hajijuiMuch-know karudi kundini
Amekufa mdaaHivi Aisha alikufa? Nilimkosakosa na hela zangu za viazi 2006 na nilitaka nimuoe kabisa.
Duh sikusikia kabisa. Mara ya mwisho nilisikia miguu inamuuma sana, akaombewa akawa kapona. Basi sikusikia tena habari zake.Amekufa mdaa
Kafa ht miaka mitano inafikaDuh sikusikia kabisa. Mara ya mwisho nilisikia miguu inamuuma sana, akaombewa akawa kapona. Basi sikusikia tena habari zake.
Duh, kweli aiseeh!! Kumbuka kipindi cha JK ndio kafa kweli?Kafa ht miaka mitano inafika
wahenga wanakwambia kwamba "usifanye maamuzi yoyote ukiwa na hasira, na usitoe ahadi yoyote ukiwa na furaha"...Ukifanya mambo bila kufikiri ndo madhara yake haya. Siku zote ishi kama kesho hautakuwepo
Hiyo "chain of termination" ni noma.
Ktk hiyo list,Choki kamzika mkewe,Banza hatunaye,Abou Semhando alifariki ila kwa ajali ya pikipiki na Aisha Madinda alishafariki.hapo utamuona huyo anayezungumziwa hapa na wengine ambao hali zao zishawahi kuwa tia maji tia maji.
Tunapowaambia wawe waungwana hawataki kusikia...bado Mwenyekiti wa Chama chao naye nyama kushikana, absolute shitholes!Inasemekana hali ya steve nyerere bado sio nzuri ,aomba kama kuna aliyemloga amsamehe
=======
Dah marehemu Shenazi alale pema tu kwa kweliewaaaaaaaaa hahaa you nailed it Broo
kumbe unakumbu kumbu njema kiasi hcho hahaa
enzi za kina mama mingoi hizo na shangingi La mashangingi Shenazi..
kama yule SHENAZI ndio aliharibu na kuuwa watu wengi mnoooo ..saloon yake walikuwa wanashinda machoko tu ..nakila anapokwenda wame mzunguka...haya mambo Yakina delicious yalianzaga kitambo hahaa..enzi za FM club kinondoni
aAamiinnDah marehemu Shenazi alale pema tu kwa kweli