wakomong'we
Member
- Oct 28, 2011
- 30
- 2
Hivyo makamanda nawaomba muwe macho kudhibiti haya mafisadi,inasemekana kuna kura bandia pamoja na wakuu wa vitengo hapa nchini. Makamanda tuko pamoja kazeni kamba lazima ccm izikwe b4 2015.source niko maeneo ya airport Dar.