Baba Ludovick
Member
- Apr 1, 2012
- 9
- 0
Mbona wadau cjaelewa somo,matokeo yakoje huko Arumeru mpaka sasa?
Hapana. Hatuhitaji mseto hapa. Huwezi kufanya mseto na mwizi. CCM itagalagazwa kama vile KANU ilivyogalagazwa Kenya.nchi sio ya chama kimoja,
2015 kuna kila dalili za serikali ya mseto
ni aibu sana na matusi yote waliotukana wananchi wa arumeru afu wawape kura hata wakiiba
kura watu wa arumeru hawadhulumiwi hata kidogo,watakiona cha mtema kuni
Jamani jamani hii ni Tanzania zaidi ya muijuavyo, kesho asubuhi Sioi atatangazwa mshindi amini msiamini nipo Arumeru muda huu ndani ya hiki chumba nashangaa hawa jamaa wa IT wa chadema wamekuja hapa kufanya nini wanashindwa kuona hiki wanachojaribu kukifanya ccm, nasikia uchungu sana.
Jamani jamani hii ni Tanzania zaidi ya muijuavyo, kesho asubuhi Sioi atatangazwa mshindi amini msiamini nipo Arumeru muda huu ndani ya hiki chumba nashangaa hawa jamaa wa IT wa chadema wamekuja hapa kufanya nini wanashindwa kuona hiki wanachojaribu kukifanya ccm, nasikia uchungu sana.
Hizi ndege labda ni za kuwatoa akina Mwigulu wasinyeshewe mvua kesho hapo Arumeru
Waambie wageuze huko juu maana ni aibu!!!! Hiyo ndo people's powerHivyo makamanda nawaomba muwe macho kudhibiti haya mafisadi,inasemekana kuna kura bandia pamoja na wakuu wa vitengo hapa nchini. Makamanda tuko pamoja kazeni kamba lazima ccm izikwe b4 2015.source niko maeneo ya airport Dar.
nchi sio ya chama kimoja,
2015 kuna kila dalili za serikali ya mseto
ni aibu sana na matusi yote waliotukana wananchi wa arumeru afu wawape kura hata wakiiba
kura watu wa arumeru hawadhulumiwi hata kidogo,watakiona cha mtema kuni
Serikali ya mseto kwani hapa Zanzibar? Shindwa na ulegee watu tuna-strugle kuhakikisha kuwa CHADEMA inachukua nchi we unaleta habari za mseto, hapana
Lowassa ndio ameicost ccm,tumeshindwa kwa kujitakia,hakukua na sababu ya kumshirikisha lowassa kwenye kampeni,hili liwe fundisho pahala pengine,watu wenye tuhuma za ufisadi marufuku kusimama majukwaani kuwanadi wagombea wetu hata wa udiwani,mbona igunga hatukuishirikisha hii mizigo tukapata mafanikio?
Ubishi wa baadhi wa watu lowassa alishatucost arusha mjini na bado tumeendelea kumtumia haya ndio matokeo yake tumelitupa jimbo ki
nchi sio ya chama kimoja,
2015 kuna kila dalili za serikali ya mseto
ni aibu sana na matusi yote waliotukana wananchi wa arumeru afu wawape kura hata wakiiba
kura watu wa arumeru hawadhulumiwi hata kidogo,watakiona cha mtema kuni