kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,302
Naomba kufahamu kwa wenye kujua je kwa sheria zetu hapa Tanzania ni halali kwa mtu yeyote kumiliki spear gun bila kibali, kwa wasiojua spear gun ni kwa matumizi ya uvuvi.
Zinauzwa kwa siri sana hizi...kuna muhindi mmoja nliona kaweka tangazo facebook anauza tasermkuu mie natafuta Taser gun au pepper gun wapi zinauzwa bongo
Pepper spray zinauzwa Tanganyika Fire arms.mkuu mie natafuta Taser gun au pepper gun wapi zinauzwa bongo