Inapotajwa Yanga kwa simba linakiwa tatizo kubwa.

Kunapokuwa hamna fairness kwenye maamuzi kunachangia timu zingine kukosa fair chance ya kugombea ubingwa pamoja marefarii walioandaliwa maalum Saanya alikuwa amefungiwa kafunguliwa kaanza na mechi ya Simba na Yanga unajua kilichotokea. Msimu uliopita refa mwanamke aliletwa maalum kwa mechi hiyo unajua kilichotokea.
 
Kunapokuwa hamna fairness kwenye maamuzi kunachangia timu zingine kukosa fair chance ya kugombea ubingwa pamoja marefarii walioandaliwa maalum Saanya alikuwa amefungiwa kafunguliwa kaanza na mechi ya Simba na Yanga unajua kilichotokea. Msimu uliopita refa mwanamke aliletwa maalum kwa mechi hiyo unajua kilichotokea.
Acheni mdomo chezeni mpira hamuwezi waachieni wanaoweza
 
Najibishana na mwenye mbwa wewe mbwa kaa pembeni. Kufuata mkumbo utadandia ikwamie nyuma.
 
Eti Ngoma kumpiga kichwa Kesy na Tambwe kumshika nanii ndio sababu za kukosa ubingwa? Mlipofungwa na vitimu vidogo navyo viliwapiga vichwa na kuwashika sehemu za siri? Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika.
Mnawalaumu waamuzi kwenye mechi moja mnasahau mmefungwa hadharani na African Lyon na Prison.
 
Eti Ngoma kumpiga kichwa Kesy na Tambwe kumshika nanii ndio sababu za kukosa ubingwa? Mlipofungwa na vitimu vidogo navyo viliwapiga vichwa na kuwashika sehemu za siri? Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika.
Mnawalaumu waamuzi kwenye mechi moja mnasahau mmefungwa hadharani na African Lyon na Prison.
Rage anawaitaje hawa jamaa?
 
Eti Ngoma kumpiga kichwa Kesy na Tambwe kumshika nanii ndio sababu za kukosa ubingwa? Mlipofungwa na vitimu vidogo navyo viliwapiga vichwa na kuwashika sehemu za siri? Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika.
Mnawalaumu waamuzi kwenye mechi moja mnasahau mmefungwa hadharani na African Lyon na Prison.
dah aje sembo ajibu hoja hapa
 
Hoja gani za wenye kukodishwa kama sufuria za hitima. Kwani nyie hamjafungwa?Na bado tumewazidi pointi 2.Mpigieni magoti baniani akiondoka mtachangisha kama vikao vya harusi.
 
Soma tahariri ya habarileo kuhusu mwenendo wa ligi na maamuzi juu ya timu fulani na TFF. Watu sio vichaa kulalamika.
 
Kinachowafanya mshinde ni kubebwa. Nakupa mifano mitatu.Msimu uliopita Ngoma alimpiga kichwa Kessy,Tambwe akamzalilisha Murshid kwa kosa kama la Nyosi hakuna hatua zozote mpaka ligi ikaisha. Suala la Kessy limezungushwa mpaka leo wametaka risiti wamepewa ila kwa sababu inaeleweka Yanga wamekosea kusajili mchezaji mwenye mkataba eti timu zikutane kutafuta suluhisho. Hamna lever playing field.
Kwahyo nyie simba msimu mzima mlikua mnacheza na yanga tu? Msimu mzima mlikua mnashona sare za harusi, halaf mlalamike Yanga kabebwa, hebu shindeni mechi zenu muone kama yanga itabebeka.
 
Kinachowafanya mshinde ni kubebwa. Nakupa mifano mitatu.Msimu uliopita Ngoma alimpiga kichwa Kessy,Tambwe akamzalilisha Murshid kwa kosa kama la Nyosi hakuna hatua zozote mpaka ligi ikaisha. Suala la Kessy limezungushwa mpaka leo wametaka risiti wamepewa ila kwa sababu inaeleweka Yanga wamekosea kusajili mchezaji mwenye mkataba eti timu zikutane kutafuta suluhisho. Hamna lever playing field.
Kwa ufahamu huo, inaonekana hamjajitambua na yanga itawapiga bao kila mwaka
 
Back
Top Bottom