moniccca
JF-Expert Member
- Nov 15, 2015
- 2,383
- 3,285
Matusi yenyewe hujui ! Pole au ndo jazba tayari? Haya ng'oa viti sasa!!Umelowa wewe mwenye mdomo wa chini. Matusi hapa mpaka liamba.Andika kiustaarabu utajibiwa. Ukianza matusi utajibiwa pia.
Matusi yenyewe hujui ! Pole au ndo jazba tayari? Haya ng'oa viti sasa!!Umelowa wewe mwenye mdomo wa chini. Matusi hapa mpaka liamba.Andika kiustaarabu utajibiwa. Ukianza matusi utajibiwa pia.
Mimi ni mwanaYanga mwenzako wa kimataifa. Tujadili kichapo tutakachompiga mtani, kwa maana juzi walisema tumewafunga kwa goli la mkono la Tambwe.Nani alikwambia Mbowe ni ukawa? Yule ni mpiga deal tu
Unaamini hizo ndio sababu za msingi zilizopelekea Simba kukosa ubingwa?Naona umeshindwa kujibu hoja zangu kwani ni ukweli.Umeamua kuwasema mbuni kutumbukiza kichwa kwenye mchanga huku mgongo upo wazi. Jibu hoja wacha longolongo.
Mkuu moniccca humuwezi we endelea na yakoUpo kwenye siku zako nini?Sitaki vinuka mkojo.
Simba watoto wadogo wale mkuu wala usihofu tunawagonganishwa vichwa wangombana wao kwa wao sisi tunapiga baoMimi ni mwanaYanga mwenzako wa kimataifa. Tujadili kichapo tutakachompiga mtani, kwa maana juzi walisema tumewafunga kwa goli la mkono la Tambwe.
Bila mamayo kuwa kwenye siku zake ungezaliwa wewe? Dume zima unatepetesha domo!!!Upo kwenye siku zako nini?Sitaki vinuka mkojo.
Acheni mdomo chezeni mpira hamuwezi waachieni wanaowezaKunapokuwa hamna fairness kwenye maamuzi kunachangia timu zingine kukosa fair chance ya kugombea ubingwa pamoja marefarii walioandaliwa maalum Saanya alikuwa amefungiwa kafunguliwa kaanza na mechi ya Simba na Yanga unajua kilichotokea. Msimu uliopita refa mwanamke aliletwa maalum kwa mechi hiyo unajua kilichotokea.
Walioshindwa wana maneno mengi mkuuUnaamini hizo ndio sababu za msingi zilizopelekea Simba kukosa ubingwa?
Rage anawaitaje hawa jamaa?Eti Ngoma kumpiga kichwa Kesy na Tambwe kumshika nanii ndio sababu za kukosa ubingwa? Mlipofungwa na vitimu vidogo navyo viliwapiga vichwa na kuwashika sehemu za siri? Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika.
Mnawalaumu waamuzi kwenye mechi moja mnasahau mmefungwa hadharani na African Lyon na Prison.
dah aje sembo ajibu hoja hapaEti Ngoma kumpiga kichwa Kesy na Tambwe kumshika nanii ndio sababu za kukosa ubingwa? Mlipofungwa na vitimu vidogo navyo viliwapiga vichwa na kuwashika sehemu za siri? Mkiitwa mbumbumbu mnakasirika.
Mnawalaumu waamuzi kwenye mechi moja mnasahau mmefungwa hadharani na African Lyon na Prison.
Bila shaka mwandishi wa hilo gazeti ni mnazi wa SIMBASoma tahariri ya habarileo kuhusu mwenendo wa ligi na maamuzi juu ya timu fulani na TFF. Watu sio vichaa kulalamika.
Kwahyo nyie simba msimu mzima mlikua mnacheza na yanga tu? Msimu mzima mlikua mnashona sare za harusi, halaf mlalamike Yanga kabebwa, hebu shindeni mechi zenu muone kama yanga itabebeka.Kinachowafanya mshinde ni kubebwa. Nakupa mifano mitatu.Msimu uliopita Ngoma alimpiga kichwa Kessy,Tambwe akamzalilisha Murshid kwa kosa kama la Nyosi hakuna hatua zozote mpaka ligi ikaisha. Suala la Kessy limezungushwa mpaka leo wametaka risiti wamepewa ila kwa sababu inaeleweka Yanga wamekosea kusajili mchezaji mwenye mkataba eti timu zikutane kutafuta suluhisho. Hamna lever playing field.
Kwa ufahamu huo, inaonekana hamjajitambua na yanga itawapiga bao kila mwakaKinachowafanya mshinde ni kubebwa. Nakupa mifano mitatu.Msimu uliopita Ngoma alimpiga kichwa Kessy,Tambwe akamzalilisha Murshid kwa kosa kama la Nyosi hakuna hatua zozote mpaka ligi ikaisha. Suala la Kessy limezungushwa mpaka leo wametaka risiti wamepewa ila kwa sababu inaeleweka Yanga wamekosea kusajili mchezaji mwenye mkataba eti timu zikutane kutafuta suluhisho. Hamna lever playing field.