nguriti
Senior Member
- Nov 16, 2016
- 121
- 137
Simba ni timu nzuri sana lakn inabahati mbaya ya kukosa uongozi bora.
Ukiangalia mwaka Jana ilikuwa nanafasi kubwa sana ya kutwaa ubingwa lkn maamuzi ya kijinga wa uongozi yakaifelisha timu.
Mwaka huu pia simba imeanza vizuri sana lkn mwisho mwaka raundi ya kwanza ikaanza kuharibu.
Sasa tena imejitengenezea kamgogoro kasiko rasmi na mchezaji wake Jonas Mkude!
Kushindwa kwa mwaka Jana sababisho ni Yanga, kwa wale wanaokumbuka simba waligoma kuendelea na michezo mpaka Yanga wamalize vipolo vyao.
Msimu huu tena tatizo ni Yanga ..Mkude kusema atakwenda Yanga kama hawatampa malipo mazuri imekuwa shida tena.
Nimegundua migogoro na kushindwa kwa simba inasababishwa na hofu waliyonayo simba dhidi ya yanga .
Kwa hali hii Yanga watakuwa mabingwa mpaka mjitambue.
Ukiangalia mwaka Jana ilikuwa nanafasi kubwa sana ya kutwaa ubingwa lkn maamuzi ya kijinga wa uongozi yakaifelisha timu.
Mwaka huu pia simba imeanza vizuri sana lkn mwisho mwaka raundi ya kwanza ikaanza kuharibu.
Sasa tena imejitengenezea kamgogoro kasiko rasmi na mchezaji wake Jonas Mkude!
Kushindwa kwa mwaka Jana sababisho ni Yanga, kwa wale wanaokumbuka simba waligoma kuendelea na michezo mpaka Yanga wamalize vipolo vyao.
Msimu huu tena tatizo ni Yanga ..Mkude kusema atakwenda Yanga kama hawatampa malipo mazuri imekuwa shida tena.
Nimegundua migogoro na kushindwa kwa simba inasababishwa na hofu waliyonayo simba dhidi ya yanga .
Kwa hali hii Yanga watakuwa mabingwa mpaka mjitambue.