Inaniumiza sana

Kama alikukubali mpk ikafikia hatua ya kukuoa basi alikupenda hivyo ulivyo, usije ukakosa raha kwa mambo ambayo mwenzio wala hayawazi ila ww ndie kutwa kuwaza. Yaweza kuwa ndio jinsi alivyo ila wew labda hujamzoea. Ukihisi unakosa raha sn basi kaa nae umueleze jinsi unavyojisikia, umsikilizie atachokuambia. Naamini utapata amani ya moyo saana, lakini ktk yote hayo usiache kujipenda na kula vizuri. Na acha kujishtukia..
 
Huyo mtoto uliyezaa na mwanaume mwingine mpeleke kwa baba yake au kwenu utaona amani inarudi kwa kasi ya 5G
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wangu hilo tatizo. Naona sio ishu sana tatizo kubwa ni huyo mtoto ambaye sio damu yake ,kumbuka sio rahisi kwa mwanaume kuonekana onekana na mtoto ambaye sio wake
 
Naunga mkono yote ispokuwa kwenye mawigi na mamake up,huhitaji hivyo vitu kuwa mzuri na mwenye comfidence.

Afanye mazoezi,ale vizuri,anywe maji kwa wingi,avae vizuri na kisasa(sio kihuni),na ajipende.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kazi ya makeup ni kukufanya ujiamn kuliko kawaida, ujiamini kuliko uwezo wako au kiwango chako cha kujiamini, ujione keki wakati weww ni kitumbua.

mkuu ni bora kuwa over confident,kuliko not to be confident at all...
 
tuombe mungu isiwe chai hii... maana mmmh sio kwa kujinanga huku
 
Muonekano wako kabla ya ndoa miezi mitatu ilopita kwani ulikuwa tofauti na sasa? Maana ndoa yenu naamini mliifunga mbele ya hadhira kubwa ukiwa na mwili huo huo ulionao sasa, miezi mitatu si mingi eti,iweje leo miezi mitatu tu baada ya ndoa asitake kuonekana nawe mbele za watu? Kuna walakini hapa
 
Duuh

Basi vumilia tu dadaangu

@Heavent Sent

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni waname wachache sana wanao weza kuvumilia ndoa za single mother, ni wachache mno! Miezi3 na dalili unaziona, mama, rudi kwa mumeo wa zamani kama inawezekana!
 
Hilo jambo dogo sana!! SOLUTION:- ukitaka nae vaa baibui au Abaya na ujitande hijab !! Waoow !! Uta mpa Amani ... wish you good luck and loving life...!!
 
Kwa muandiko huu ni wazi sasa kuna wanaume wana huruma sana..yaani hata wewe una mume?

Ama kweli vijana vitunguu swaumu vimewafanya mmekata tamaa..yaani una pita ukakuta mama pita nae anapita na mume baba pita

 
Mi nipo kawaida tu alafu kabla ya kuanza kuishi pamoja tulikua na mahusiano ya kimapenz mwaka mmoja na nusu..
 
Naunga mkono yote ispokuwa kwenye mawigi na mamake up,huhitaji hivyo vitu kuwa mzuri na mwenye comfidence.

Afanye mazoezi,ale vizuri,anywe maji kwa wingi,avae vizuri na kisasa(sio kihuni),na ajipende.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko kwenye kuvaa ndio changamoto sababu kwa umbo langu navaa magaun marefu mapana au sketi ndefu Pana Sasa yeye halend ivyo
 
Kwa upande wangu hilo tatizo. Naona sio ishu sana tatizo kubwa ni huyo mtoto ambaye sio damu yake ,kumbuka sio rahisi kwa mwanaume kuonekana onekana na mtoto ambaye sio wake
Mtoto anaishi kwa mama tena yeye hua abagomba anataka tuishi nae hapa
 
Hahahaha...Eti kama kibanda cha M-pesa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…