Hayanihusu moja kwa moja ila inaniuma kwa kweli. Nina rafiki yangu ana girlfriend wake ambae dada huyo anampenda sana rafiki yangu na anafanya kila analoweza kumfurahisha jamaa. Rafiki yangu ni kicheche ana wasichana wasiohesabika anabadili kila leo japo anampenda huyu mdada kuliko wanawake wake wote. Huyu mdada she is wife material kabisa kimuonekano hata kitabia, natamani rafiki yangu amuoe lakini kwa upande wa pili tabia za jamaa naona either atakuja kumuumiza mdada akijua jamaa kicheche au atamuambukiza STD's. Naumia sana nikiwaza maisha ya mdada baadae. Sina la kufanya maana rafiki hashauriki. Wana MMU nimsaidiaje mdada