Inaniuma sana, nimeamua nitapike ni kisa cha kweli!!!!!!!!!

Bado unampenda mtu katili kama huyo???
alikuongopea sasa umeshagundua piga moyo konde maisha yasonge mbele...
Huyo si wako! tena mshukuru Mungu saana kwa kujua hayo mapema.....
 
Ilikua ni mwaka 2007 nilijiiingiza kwenye tagged, nilipata marafiki wengi sana, mja wa marafiki hao nilimpa number yangu ya simu, kwa bahati mbaya ple nilipokua nafanya kazi nikaachishwa mawasiliano yakawa hafifu, siku moja nikiwa nimepata kazi sehemu nyingine niliingia kwanye mtandao nikamkuta kwa kweli nilifurahi sana, basi tukaendelea kuwasiliana, siku moja akaomba nikutane nae nikawa nakataa, aliendelea kutaka kuonanna nami siku moja niliamua kukubali, basi nikaenda tuka meet some where, nilifurahi sna nae alifurahi sana, akaniuliza backgroudn yangu nae nami nikamuuliza akanieleza, tukaendelea kuwasiliana, wakati huo tuliheshimiana na hatukuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi, akanionyesha nyumbani kwake na mimi nikamuonyesha kwetu, siku zilienda miaka ikayoyoma nikawa na furaha nae akawa na furaha, baada ya kama miaka miwili tukajikuta tumejiingiza kwenye mahusiano tulipedana sana na tukapanga mambo mengi ya kiamaisha.
Ghafla alibadilika akanichukia pasipo sababu akawa ananijibu vibaya nikimuuliza akawa hana cha kuniambia, ilipita week moja pasipo kuonana, week iliyofuata nikamwambia naenda kwake akanikatalia na kunipa short answers. siku moja nilikajikaza nikaenda kwake kabla sijaingia nikakuta jiko viatu vya mwanamke mlangoni na jiko likiwa limewashwa na kwenye cordo kuna mdada anapika. nikamsalimia nikauliza kama jamaa yupo ndani akaniambia ee kabla sijaomba aniitie akawa ametokea sitin , hakutaka niiingie ndani na mimi nilielewa kila kinachoendelea, nikamwomba tutoke nje mara moja na nilijitahidi nisionyeshe kama kuna kitu nimehisi, tulipofika nikamuuliza huku machozi yananilenga lenga kwanini umeamua kunifanyia hivyo alibadilika rangi na hakuweza kunijibu chochte. Kuna promiss alinipa na akaahidi kunisupport kwa hali na mali nikamuuliza kama alikua yupo tauyari akanijibu ndio,basi nikamwambia alll the best. Jamani nilipofika nyumbani niliumia sana ilinigharimu sana, na chaajabu hakutaka hata kuwasiliana na mimi, na ukweli ni kwamba sikuwahi kugombana nae wala kumkosea chochote. Nimiaka miwili sasa hataki kuona na hata sms yangu lakini UKWELI YULE NDO MWANAUME NILIO MPENDA NA MPAKA SAIVI NAMPENDA HAIJALISHI ALINITEDNA, SIPO HAPPY NA MWANAUME YOYOTE, USHAURI PLZ!!!!!!!!!!!!!

Mpende akupendae asiye kupenda ACHANA NAYE -TOT PLUS
 
My dear
maisha hayapo jinsi unavofikiri.relax jiachie duniani humu wanaume ni wengi tena utapata mzuri kuliko huyo utashangaa.
Sio kila tunachotaka kinakuwa jinsi tutakavo,ishi kwa mbadala baada ya muda ule mbadala utakuwa ndo sahihi tena zaidi ya ufikiriavo

brb wa2 hawapendi sura wala uzuri..wa2 wanakabz Moyo kwa wale wanaowapenda.......sema ni bahat mbaya kumpenda m2 asiyempenda ila dada yang be blesd na Moyo wako
 
DUNIA YAKO CHAGUO LAKO. Chagua kufurahia maisha, chagua kuachana na michosho ya viumbe wenzako! You only have some years on this little planet. AMKA SASA.
 
Dada, mapenzi ni kupendana na si kupenda. Sisi wanaume tunaanza na kutamani kwanza kupenda kunakuja baadae sana. Mara nyingi tunapenda kutesti kabla ya kupenda n.k. Mpenzi wa ukweli na mwenye malengo na mtu huweza kuvumilia kwa muda mrefu sana bila kutest. Ila ujue jamaa alikutamani tu akaduu kumbe alikuwa hakupendi. HILO LISIKUTIE SHAKA NA KUONA KWAMBA HUNA MAANA. Chaguo lako lipo ila tu uwe makini na mwanaume unayekuwa nae katika mahusiano.
 
wewe ni mwanamke umetendwa na mwanaume kuna mwanaume nae amelizwa mbaya na kupenda. chukua hilo kama ni changamoto na si tatizo hapo utakomaa na kuwa na mawazo chanya ya kukuweka mahali wastahili.
u‘ve bee in a relatiomship for 2 yrs, mm nimelia after being in love for 5 yrs and only 6 months from getting married and yet there r other pples story, when i hear them, i moved a
n see mine is nothin.
ukilala ukaamka, thank God n know a new day has come
 
nilikua nimetoka kidogo,,,,ok, kwani ulishampa game msela?kama ulishatoa game basi msela labda kachoka,,,?pole ila mapenzi yanauma na yana nguvu kuliko kifo,,,daaaaahhh
 
sasa kama mtu hakupendi unamng'ang'ania wa kazi gani....move on, maisha hayasimami bana
 
Wewe mkomalie tu, unaweza kumuuliza kama imani yake inakataza kuwa na mitara (la), ninaimani hujali kuwa mke mwenza
 
inapendeza sana, najua huyu ni juniour Member kwahiyo Paka Jimmy kuandika hiyo Post ni kumwelewesha jinsi JF inavyoendeshwa

Si angempa tu link ..
Au amweleze kuhusu sheria na wapi za kuzipata ... labda alisha zisoma kabla hata hakufungua hii thread .. ... ......

Haipendezi kwa kweli ..
 
Wewe mkomalie tu, unaweza kumuuliza kama imani yake inakataza kuwa na mitara (la), ninaimani hujali kuwa mke mwenza

Ndugu, haya mambo ya mitara yasikie tu hivihivi wala usijaribu kabisaa.....!! After all, kwa nini aforce mapenzi?? Ili aendelee kuumia zaidi sio? Acha kabisa my dear, the best way ni kuukubali ukweli kwamba ameachwa na kuandika historia kuwa aliwahi kuwa na fulani ambae muda wake ulishapita kama majimaji war......thats all!!! Then, my conclusion lies to the fact that, kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.......so get off those stubborn feelings as it seems he was not a man enough and ready for you!!!!!
 
PJ leo umechemka sijui bado uko pale mianzini??? Weekend mbaya sana.

Mwenzio analia na mapenzi wewe unaleta mambo ya michango mara sheria za JF wapi na wapi bana aaahhh hata kama ni bro nakuchana live tu
 
... Kuna promiss alinipa na akaahidi kunisupport kwa hali na mali nikamuuliza kama alikua yupo tauyari akanijibu ndio,basi nikamwambia alll the best. ....... Nimiaka miwili sasa hataki kuona na hata sms yangu lakini UKWELI YULE NDO MWANAUME NILIO MPENDA NA MPAKA SAIVI NAMPENDA HAIJALISHI ALINITEDNA, SIPO HAPPY NA MWANAUME YOYOTE, USHAURI PLZ!!!!!!!!!!!!!
Hayo 'mapenzi' yako kwake yana uhusiano wowote na hiyo 'promiss' [sic] aliyokupa?
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom