JICHO LA TATU
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 306
- 49
Habari zenu wana jamvi, Suala hili ni kwa wale wanaume au wanawake wenye tabia ya kupekua simu za wapenzi wenu. Sikatai Suala la kukagua simu bt tatizo ni namba mnazokutana nazo kwenye hizo simu za wapenzi wenu, hivi umekuta namba jina ni la mwanamke au mwanaume bila ya kukuuliza huyu ni nani bs wewe unachukua simu na kuanza kupiga kwa namba husika, EEH NDO NAKWAMBIA UKOME KUWASILIANA NA MUME WANGU/MKE WANGU KILA SIKU NAKUTA MISCALL ZAKO MARA HIVI MARA VILE(TENA HASA WANAWAKE). JAMANI WENGINE NI WAFANYAKAZI WA HAO WAPENZI WENU MSIPENDE KUKURUPUKA BILA KUJUA HUYU NINAYEMTUKANA NI NANI KISA TU UMEKUTA MSG LABDA IMEANDIKWA JITAHIDI TUONANE...... AAH SIYO VIZURI HIVYO HATA KAMA NDO ABIRIA CHUNGA MZIGO WAKO HII IMEZIDI WAJAMENI.