Dodo18
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 315
- 93
Naomeni msaada wenu wana Jamii.. I have about 3Million na nataka kui invest kwenye biashara ya M-Pesa, Tigo Pesa lakini nataka kujua inakua vipi kila kitu from profit na loss?? Nyumbani napoishi sinza mori, kuna frame ambayo haina mtu na baba kaniambia nifikirie kitu cha kufanya.. Ahsanteni