MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Nimekuja kugundua kuwa wale wanafunzi ambao walikuwa na ufaulu mbovu au mdogo hasa kuanzia kidato cha nne ( 4 ), cha sita ( 6 ) na vyuo vikuu huku maishani ndiyo wamekuwa kimbilio ( waajiri ) wakubwa wa wale wanafunzi ambao walikuwa na akili / uwezo mkubwa sana darasani.
Je kimantiki hii inatafsiri gani wakuu? Na je ina athari yoyote kwa kilaza mwajiri na kipanga mwajiriwa?
Je kimantiki hii inatafsiri gani wakuu? Na je ina athari yoyote kwa kilaza mwajiri na kipanga mwajiriwa?