Inakuwaje napata walionizidi umri?

Inakuwaje napata walionizidi umri?

Wewe wap sasa

We kiongozi acha hizo! sasa sikia achana na hao wamama waliokuzidi umri, tulia na wakati ukifika muombe Mungu akupe mke, jitambue na ujipende tu hakuna la ziada ukijidai kwenda na dunia raha utapata lakini pia taabu zitakuja. Amua kubadilika na Mungu akuwezeshe.
 
We kiongozi acha hizo! sasa sikia achana na hao wamama waliokuzidi umri, tulia na wakati ukifika muombe Mungu akupe mke, jitambue na ujipende tu hakuna la ziada ukijidai kwenda na dunia raha utapata lakini pia taabu zitakuja. Amua kubadilika na Mungu akuwezeshe.
Nimebadilika lakn bado
 
We si nilikwambia ning'ang'anie mimi mtoto mwenzio, under 14 mwenzio, ukajiona umekuwa, sasa unalia nini??? hahahahahaha!!!!!!

Best tulia ulelewe bhana, wakubwa wanajua kuhandle achana na vidogovidogo vitakusumbua akili tu, kutwa mizinga. tulia na mimama wabadili maisha yako.
 
We si nilikwambia ning'ang'anie mimi mtoto mwenzio, under 14 mwenzio, ukajiona umekuwa, sasa unalia nini??? hahahahahaha!!!!!!

Best tulia ulelewe bhana, wakubwa wanajua kuhandle achana na vidogovidogo vitakusumbua akili tu, kutwa mizinga. tulia na mimama wabadili maisha yako.

Nalelewa hadi lini sasa ??
 
Hakuna mwanaume aliye@mtoto mdogo..Sasa ww unatongoza madem kwenye uzinduzi wa taarab alaf unategemea uopoe size yako? Komaa na mashangingi hayo
 
Back
Top Bottom