endelea kujitahidi....Yaani ni shida tupu mkuu
mtoto mdogo
Inawezekana nawe umeshazeeka sema hujioni tuu?? Sasa wewe endelea kujiita mtoto mdogo wakati makunyanzi yamekujaa usoni?? ...hao unaowapata ndio saizi yako!!! Wazee wenzio!!
Mh!Na jee mwanamke kupendwa/kuwapata tuu na aliowazidi umri inakuaje?
Nachokiona humu ni kwamba huyo mtoto anafanya watu wazima nao kufanya utoto humu.
Kweli we mtoto mdogo yani umeleta uzi ili uwe unapiga like tu kwa kila komenti aisee
Na wewe si mkubwa mkubwa hivi eeh
Na mimi kasichana kadogo mkuuu
Hahaha sasa si uje uokoe hili jahazi me nshachoka..
Mi nataka wazeee tu
Tongoza wanafunzi wenzio
Usijal hata m. Ntazeeka
We toto kubwaaaa tu
mtoto mdogo