Mr Yes
Senior Member
- Jan 31, 2013
- 153
- 29
Nimekua nikisikia na kusoma sehemu mbalimbali juu ya Mwanamke kufika kileleni au kupiga goli wakati wa kufanya mapenzi,nimefanya mapenzi mara kadhaa lakini huwa sijui kama mwenzangu amefika huko kileleni au kama amepiga bao.
Naomba nieleweshwe inakuaje ili niwe najua maana isije ikawa mara zote hizo nilikua napaka rangi upepo.
NB:Uungwana ni vitendo,tuelimishane na si kutukana.ahsante
Naomba nieleweshwe inakuaje ili niwe najua maana isije ikawa mara zote hizo nilikua napaka rangi upepo.
NB:Uungwana ni vitendo,tuelimishane na si kutukana.ahsante