Habari zenu wana JF
mm nmechaguliwa kujiunga na chuo kikuu cha dar es salaam. Lakin kwenye DIRECT COST zao kuna fedha ya matibabu, sasa inakuwaje na wakati mimi ninatumia bima ya afya na mzee wangu anatozwa fedha nyingi kwenye hyo bima???
Inabid utoe coz kuna accident mbalimbali au unaweza kuugua gafla ataukashindwa kuonyesha bima yako and then hata usafir wa kukupeleka hospital co itabid utoe kama tahadhar
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.