inakuwaje mwanaume anapatwa na hili

inakuwaje mwanaume anapatwa na hili

Hiyo ndo naisikia toka kwako
Enewei, yamkini huyu jamaa ana pepo la ngono ambalo linamsumbua wakati anapokua amelala na kumfanya aendelee kutumika pande hiyo tena na tena.
Thats the only logical explanation I see.
habari ndo hiyo hapo Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
1374044_10151715251548581_1407901145_n.jpg

Si kwa mwanaume kama huyu.......!
 
duh maana mtu unajiuliza hivi ni nini au uzalishaji uko juu sana au ndo simtoshelezei
 
Hekimatele kama vile ulikua kwenye akili yangu ila bahati mbaya leo comp imenikatalia kureply moja kwa moja kwa mtoa mada
 
ni hali ya kawaida sana nilichunguza nikagundua dozi huwa zinakosewa mtu kama huyo hapati dozi ya alfajiri!
NB:unatakiwa uwe na dozi mbili moja saa nne na nyingine alfajiri halafu unakwenda kazini....!
 
utakuta mwanaume yuko kwenye ndoa na labda amekutana na mwenzake jana lakini kesho usiku akiwa usingizini anajimwagia (kukosa neno la kutumia) kwenye pajama yake hii inatokeaje inamaana huyu mtu anakuwa haridhiki au ni vipi hii siielewi

Samahani naomba nikuulize, hivi umri wako ni miaka mingapi?
 
comp yangu hainiruhusu kureply kwa mtu mmoja mmoja labda ni copy na kupaste hata kufungua thread inanibidi nifanye kama vile nareply to topic otherwise haifunguki nitasolve soon sijaelewa tatizo nini
 
mshana jr
Re: inakuwaje mwanaume anapatwa na hili
Huyo atakuwa fisimaji...!

Fisimaji?​
 
Jamani hata mimi ilinitokea nikiwa na mwanamke kabla hajaniacha sikujuwa kwanini huwa inakuwa hivyo unaamka unakuta umejikolea wakati usiku umedu.i do know why.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom