Inakuwaje kwa madaktari tuliowasomesha lakini wamekimbilia bungeni kufuata maslahi mazuri!

Hakuna kipengere kwenye ajira ya Serikali kinachomzuia mtumishi kuacha kazi kulingana na Standing Order
 
Dr aliekimbilia sekta binafsi ili kupata maslahi zaidi hajakosea, Hutu anachangia pato la taifa kupitia kodi kubwa anayokatwa kila mwezi
 
Alaf. Vitu vingine muwe mnajiuliz wkuu sio ushabiki tuu kuna tofaut ya kuacha kazi na kuhamia taasisi nyingine katika kitengo kile.kile kuacha udaktari na kuwa mwasias ni tofaut na kukimbia serikalin na kwenda binafsi lakin ukiwa katika wazifa ule ule unajuua analalamika yuko sahih katik watu ambao elim ya juu inawathamin ni pamoja na madaktar sasa inapotokea hvy lazima uumiee yaan ada kalipiwa lakin kaenda sehem nyingine kufanya kazi unadhan wote wananchi wana wez kufikia hiyo hadh ya kwenda kutibiwa katik hospital hiyo au ni baadhi ya wananchi walio na kipato cha juu tuu .Ndio Maan lazima atafutwe kwan kma akiwa serikalin hata wale wachin wangewez kupata msaad wake
 
Mat na mct wangemjibu sababu wote ni wapigwa ganzi midomoni. Sheria inasema rudisha pesa uliyosomeshwa mda wa masomo. Haya anayofanya ni unyanyasaji.
 
Yuko sahihi kabisa.

Sisi tulipomaliza chuo ilikuwa ni lazima kuitumikia serikali kwa miaka 5 kabla hujaenda sekta binafsi au haujajiajiri!
Hakuna sheria inayosema tuitumikie serikali kwa miaka mi 5 ndio tuende private.
Mtu yoyote yule anaweza kwenda taasisi yotote akiwa na qualifications. Ili mradi havunji sheria.

Kutokana na uhaba wa ajira. Serikal haiwez kuajiri madaktari wote kwa muda mmoja.

Na si dhambi kwenda private. Ili mradi unalipa kodi. Unalipa mkopo.
 
Ndio tunao madaktari waliokacha taaluma zao na kugombea ubunge ili wapate maslahi makubwa na mazuri zaidi.
Je, hawa wako kundi gani?

Hawa wameacha kabisa kutibu tofauti na wale wanaoendelea kutumikia taaluma zao katika sekta binafsi au kwenye taasisi za dini na zile za kijamii.

Maendeleo hayana vyama!
Hata nyie simlipambania ushindi wa kisayansi kwani mnahaligani wenzetu.
 
Hakuna sheria inayosema tuitumikie serikali kwa miaka mi 5 ndio tuende private.
Mtu yoyote yule anaweza kwenda taasisi yotote akiwa na qualifications. Ili mradi havunji sheria.

Kutokana na uhaba wa ajira. Serikal haiwez kuajiri madaktari wote kwa muda mmoja.

Na si dhambi kwenda private. Ili mradi unalipa kodi. Unalipa mkopo.
Enzi zetu tulikuwa tunaajiriwa kwa lazima serikalini baada ya kumaliza chuo!
 
Bwashee leo cjui umepata chang"aa cha wap???yaan kwa akili zako mbilikimo unadhan kila mtu anaweza kufundisha???acha utani bhana
Mtu yoyote anaweza kuwa mwalimu lakini siyo kila mtu anaweza kuwa daktari bwashee.

Utabibu ni wito tena ni ibada!
 
Kitano te="Kiweriweri, post: 37970746, member: 65359"]
Ni wewe johnthebaptist !!!!
[/QUOTE]
Mitano tena
 
Siku nyingine akili yako inafanya kazi vizuri. Usiache kumeza hizo dawa bwashee 😂🤪
Ndio tunao madaktari waliokacha taaluma zao na kugombea ubunge ili wapate maslahi makubwa na mazuri zaidi.
Je, hawa wako kundi gani?

Hawa wameacha kabisa kutibu tofauti na wale wanaoendelea kutumikia taaluma zao katika sekta binafsi au kwenye taasisi za dini na zile za kijamii.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom