Zero Competition
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 310
- 451
Habari zenu wadau
Kawaida tunapoachana na wapenzi wetu huwa tunafuta namba zao za simu na kuwablock kabisa kwenye account zetu za social media
Binafsi huwa nikigombana na mwenzi wangu na tukachuniana zaidi ya siku mbili ikifika siku ya tatu huwa nafuta kabisa namba yake ya simu mana huwa nimejiandaa kuachana nae mazima endapo tu hatanicheki yeye mwenyewe na hii nafanya endapo yeye ndie alienikosea.
Je, wewe huwa inakuchukua siku ngapi kufuta namba za aliekua mpenzi wako mara baada ya kugundua kwamba mapenzi kati yenu yameisha?
Kawaida tunapoachana na wapenzi wetu huwa tunafuta namba zao za simu na kuwablock kabisa kwenye account zetu za social media
Binafsi huwa nikigombana na mwenzi wangu na tukachuniana zaidi ya siku mbili ikifika siku ya tatu huwa nafuta kabisa namba yake ya simu mana huwa nimejiandaa kuachana nae mazima endapo tu hatanicheki yeye mwenyewe na hii nafanya endapo yeye ndie alienikosea.
Je, wewe huwa inakuchukua siku ngapi kufuta namba za aliekua mpenzi wako mara baada ya kugundua kwamba mapenzi kati yenu yameisha?